Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 586
- 590
Waovu na mafisadi lazima wakemeweMkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT jijini Arusha amesema kanisa litaendelea kukemea yale yote ambayo yapo kinyume.
Katika kufanya hivyo, kanisa lisihesabike kuwa linachanganya dini na siasa bali Serikali ione kuwa ni sehemu ya kujitafakari.
Duuh amesema hayo mbele ya Rais au?Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT jijini Arusha amesema kanisa litaendelea kukemea yale yote ambayo yapo kinyume.
Katika kufanya hivyo, kanisa lisihesabike kuwa linachanganya dini na siasa bali Serikali ione kuwa ni sehemu ya kujitafakari.
Sawa uzuri amesema Kanisa sio mshindani wa Serikali Bali ni mshirikaMkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT jijini Arusha amesema kanisa litaendelea kukemea yale yote ambayo yapo kinyume.
Katika kufanya hivyo, kanisa lisihesabike kuwa linachanganya dini na siasa bali Serikali ione kuwa ni sehemu ya kujitafakari.
Ndiyo, mbele ya Rais kasema hivyo.Duuh amesema hayo mbele ya Rais au?
Hata ubidue bidue Ujumbe Umefika 5/5 [emoji123][emoji106]Sawa uzuri amesema Kanisa sio mshindani wa Serikali Bali ni mshirika
Ujumbe mwingine huu hapa 👇Hata ubidue bidue Ujumbe Umefika 5/5 [emoji123][emoji106]
... tafsiri ya udini kwa mujibu wa CCM ni kukemea uchafu na ufisadi wao! Kwao hilo ni udini ila kuunga mkono juhudi ni perfect! Haya majitu haya!Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT jijini Arusha amesema kanisa litaendelea kukemea yale yote ambayo yapo kinyume.
Katika kufanya hivyo, kanisa lisihesabike kuwa linachanganya dini na siasa bali Serikali ione kuwa ni sehemu ya kujitafakari.
... hao ndio wasomi sasa! Sio kujikombakomba kwa watawala. Black is black; white should be white and not grey!
JK amepewa haki yakeMkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT jijini Arusha amesema kanisa litaendelea kukemea yale yote ambayo yapo kinyume.
Katika kufanya hivyo, kanisa lisihesabike kuwa linachanganya dini na siasa bali Serikali ione kuwa ni sehemu ya kujitafakari.