Pre GE2025 Dkt. Slaa anavuna alichopanda

Pre GE2025 Dkt. Slaa anavuna alichopanda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Miaka 10 iliyopita dr slaa alikua ni mwanasiasa wa upinzani maarufu hakuna aliyemfikia na dr slaa ni moja ya watu aliowafanya watu wengi hasa vijana kupenda siasa za upinzani

Baada ya miaka 15 kupita dr slaa sio relevant tena ule umaarufu hana tena, maisha yana enda kasi sana leo hii ananyimwa dhamana lakini husikii kelele nyingi kutoka kwa wananchi kwamba atoke ni kama jamii a.k.a hadhira imempoteze hii imesababishwa na mambo yafuatayo;-
  • Usaliti- mwaka 2015 dr slaa aliamua kujitoa chadema na kumuunga mkono magufuli, kwenye point ya kwanza alikua sahii kwa sababu ya maumivu makali ya kusalitiwa na mbowe ila point ya pili ndo mzizi wa kosa alilofanya mpaka leo linamgharimu kumuunga mkono magufuli kwa lugha alikua anaiunga mkono ccm- tafsiri yake ni kwamba dr slaa aliisaliti mpaka dhamira yake mwenyewe kwa sababu dr slaa alikua maarufu kwa kuiponda ccm na watu wake leo hii unarudi na kukaa upande wa ccm usaliti alioufanya ndo matunda yake anayaona leo
  • Tukio la kupigwa risasi lisu- dr slaa aliulizwa juu ya tukio la lisu kupigwa risasi alitoa majibu ya hovyo sana ni bora angekaa kimya yale majibu yaliuzi watu sana alifanya vile akijua sponsor wake magufuli ataendelea kutawala
  • Tukio la ugaidi la mbowe- dr alisema anakasirika sana pale anaposikia watu wanalalamika kwamba mbowe sio gaidi anayetoa kauli hii ni mtu aliyekaa na mbowe zaidi ya miaka 15 lakin anaongea ujinga kama huu na utuuzima ule
  • Kuacha siasa- baada ya kurudi Tanzania na kumaliza ubalozi dr slaa alisema ataacha siasa ghafla kwenye sakata la dp world na bandari anaibuka kutoka mafichoni yes anahaki hiyo ila alisahau anaenda kinyume na mwajiri wake wa zamani ambaye serikali ya ccm na hata kinachomtokea ni kama mwajiri wake kaamua kumkomoa
Kwa kinachomtokea dr slaa sahivi ni anavuna alichopanda ukipoteza legitimate kwa wananchi ni ngumu sana kuirudisha
 
Lissu anasemaje? Mwabukusi jee? Si alikua Akifanya kazi yao?? Leo mbona hamna harakati Za kumkomboa?? Si ilisemwa humu Lissu ndo Kiboko ya Samia?? Vipi asimuokoe Slaa?
 
Miaka 10 iliyopita dr slaa alikua ni mwanasiasa wa upinzani maarufu hakuna aliyemfikia na dr slaa ni moja ya watu aliowafanya watu wengi hasa vijana kupenda siasa za upinzani

Baada ya miaka 15 kupita dr slaa sio relevant tena ule umaarufu hana tena, maisha yana enda kasi sana leo hii ananyimwa dhamana lakini husikii kelele nyingi kutoka kwa wananchi kwamba atoke ni kama jamii a.k.a hadhira imempoteze hii imesababishwa na mambo yafuatayo;-
  • Usaliti- mwaka 2015 dr slaa aliamua kujitoa chadema na kumuunga mkono magufuli, kwenye point ya kwanza alikua sahii kwa sababu ya maumivu makali ya kusalitiwa na mbowe ila point ya pili ndo mzizi wa kosa alilofanya mpaka leo linamgharimu kumuunga mkono magufuli kwa lugha alikua anaiunga mkono ccm- tafsiri yake ni kwamba dr slaa aliisaliti mpaka dhamira yake mwenyewe kwa sababu dr slaa alikua maarufu kwa kuiponda ccm na watu wake leo hii unarudi na kukaa upande wa ccm usaliti alioufanya ndo matunda yake anayaona leo
  • Tukio la kupigwa risasi lisu- dr slaa aliulizwa juu ya tukio la lisu kupigwa risasi alitoa majibu ya hovyo sana ni bora angekaa kimya yale majibu yaliuzi watu sana alifanya vile akijua sponsor wake magufuli ataendelea kutawala
  • Tukio la ugaidi la mbowe- dr alisema anakasirika sana pale anaposikia watu wanalalamika kwamba mbowe sio gaidi anayetoa kauli hii ni mtu aliyekaa na mbowe zaidi ya miaka 15 lakin anaongea ujinga kama huu na utuuzima ule
  • Kuacha siasa- baada ya kurudi Tanzania na kumaliza ubalozi dr slaa alisema ataacha siasa ghafla kwenye sakata la dp world na bandari anaibuka kutoka mafichoni yes anahaki hiyo ila alisahau anaenda kinyume na mwajiri wake wa zamani ambaye serikali ya ccm na hata kinachomtokea ni kama mwajiri wake kaamua kumkomoa
Kwa kinachomtokea dr slaa sahivi ni anavuna alichopanda ukipoteza legitimate kwa wananchi ni ngumu sana kuirudisha
Na Mbowe sasa ameamua kumwacha Slaa ajipambaniue mwenyewe na Lissu hawezi ya Mbowe.
 
Miaka 10 iliyopita dr slaa alikua ni mwanasiasa wa upinzani maarufu hakuna aliyemfikia na dr slaa ni moja ya watu aliowafanya watu wengi hasa vijana kupenda siasa za upinzani

Baada ya miaka 15 kupita dr slaa sio relevant tena ule umaarufu hana tena, maisha yana enda kasi sana leo hii ananyimwa dhamana lakini husikii kelele nyingi kutoka kwa wananchi kwamba atoke ni kama jamii a.k.a hadhira imempoteze hii imesababishwa na mambo yafuatayo;-
  • Usaliti- mwaka 2015 dr slaa aliamua kujitoa chadema na kumuunga mkono magufuli, kwenye point ya kwanza alikua sahii kwa sababu ya maumivu makali ya kusalitiwa na mbowe ila point ya pili ndo mzizi wa kosa alilofanya mpaka leo linamgharimu kumuunga mkono magufuli kwa lugha alikua anaiunga mkono ccm- tafsiri yake ni kwamba dr slaa aliisaliti mpaka dhamira yake mwenyewe kwa sababu dr slaa alikua maarufu kwa kuiponda ccm na watu wake leo hii unarudi na kukaa upande wa ccm usaliti alioufanya ndo matunda yake anayaona leo
  • Tukio la kupigwa risasi lisu- dr slaa aliulizwa juu ya tukio la lisu kupigwa risasi alitoa majibu ya hovyo sana ni bora angekaa kimya yale majibu yaliuzi watu sana alifanya vile akijua sponsor wake magufuli ataendelea kutawala
  • Tukio la ugaidi la mbowe- dr alisema anakasirika sana pale anaposikia watu wanalalamika kwamba mbowe sio gaidi anayetoa kauli hii ni mtu aliyekaa na mbowe zaidi ya miaka 15 lakin anaongea ujinga kama huu na utuuzima ule
  • Kuacha siasa- baada ya kurudi Tanzania na kumaliza ubalozi dr slaa alisema ataacha siasa ghafla kwenye sakata la dp world na bandari anaibuka kutoka mafichoni yes anahaki hiyo ila alisahau anaenda kinyume na mwajiri wake wa zamani ambaye serikali ya ccm na hata kinachomtokea ni kama mwajiri wake kaamua kumkomoa
Kwa kinachomtokea dr slaa sahivi ni anavuna alichopanda ukipoteza legitimate kwa wananchi ni ngumu sana kuirudisha
Muacheni aonje Joto ya Jiwe , Dkt Slaa ni mmoja wasaliti wakubwa wa vuguvugu la mabadiliko kuwahi kutokea katika Nchi hii.

Sawa hakupenda Lowasa alipojiunga na CHADEMA 2015 Ili kuwania Urais, It's Fine lakini hakupaswa kukimbia Chama na kwenda kuunga mkono CCM kipindi muhimu kama kile dakika za jioni kabisa, hicho ni kiwango kikubwa cha ubinafsi ambacho Dkt Slaa amewahi kuonyesha, yeye aliona Bora CHADEMA ipoteze kila kitu lakini matamanio yake yafikiwe, this was not right at all.

Naamini Slaa angetulia chamani wakati ule pamoja na kutoridhishwa na yaliyojiri basi CHADEMA pengine sasa hivi tungekuwa tunazungumzia mengine.

Slaa alitanguliza maslahi binafsi Baada ya kuona alikuwa anaungwa mkono na wengi.
 
Muacheni aonje Joto ya Jiwe , Dkt ni mmoja wasaliti wakubwa wa vuguvugu la mabadiliko kuwahi kutokea katika Nchi hii.

Sawa hakupenda Lowasa alipojiunga na CHADEMA 2015 Ili kuwania Urais, It's Fine lakini hakupaswa kukimbia Chama na kwenda kuunga mkono CCM, hicho ni kiwango kikubwa cha ubinafsi ambacho Dkt Slaa amewahi kuonyesha, yeye aliona Bora CHADEMA ipoteze kila kitu lakini matamanio yake yafikiwe, this was not right at all.
Ndo maana jamii kwa asilimia kubwa imempuuzia
Anajaribia kurudi kwa nguvu kubwa sana ila ndo hivyo tena haiwezekani jamii haimuamini tena
 
Miaka 10 iliyopita dr slaa alikua ni mwanasiasa wa upinzani maarufu hakuna aliyemfikia na dr slaa ni moja ya watu aliowafanya watu wengi hasa vijana kupenda siasa za upinzani

Baada ya miaka 15 kupita dr slaa sio relevant tena ule umaarufu hana tena, maisha yana enda kasi sana leo hii ananyimwa dhamana lakini husikii kelele nyingi kutoka kwa wananchi kwamba atoke ni kama jamii a.k.a hadhira imempoteze hii imesababishwa na mambo yafuatayo;-
  • Usaliti- mwaka 2015 dr slaa aliamua kujitoa chadema na kumuunga mkono magufuli, kwenye point ya kwanza alikua sahii kwa sababu ya maumivu makali ya kusalitiwa na mbowe ila point ya pili ndo mzizi wa kosa alilofanya mpaka leo linamgharimu kumuunga mkono magufuli kwa lugha alikua anaiunga mkono ccm- tafsiri yake ni kwamba dr slaa aliisaliti mpaka dhamira yake mwenyewe kwa sababu dr slaa alikua maarufu kwa kuiponda ccm na watu wake leo hii unarudi na kukaa upande wa ccm usaliti alioufanya ndo matunda yake anayaona leo
  • Tukio la kupigwa risasi lisu- dr slaa aliulizwa juu ya tukio la lisu kupigwa risasi alitoa majibu ya hovyo sana ni bora angekaa kimya yale majibu yaliuzi watu sana alifanya vile akijua sponsor wake magufuli ataendelea kutawala
  • Tukio la ugaidi la mbowe- dr alisema anakasirika sana pale anaposikia watu wanalalamika kwamba mbowe sio gaidi anayetoa kauli hii ni mtu aliyekaa na mbowe zaidi ya miaka 15 lakin anaongea ujinga kama huu na utuuzima ule
  • Kuacha siasa- baada ya kurudi Tanzania na kumaliza ubalozi dr slaa alisema ataacha siasa ghafla kwenye sakata la dp world na bandari anaibuka kutoka mafichoni yes anahaki hiyo ila alisahau anaenda kinyume na mwajiri wake wa zamani ambaye serikali ya ccm na hata kinachomtokea ni kama mwajiri wake kaamua kumkomoa
Kwa kinachomtokea dr slaa sahivi ni anavuna alichopanda ukipoteza legitimate kwa wananchi ni ngumu sana kuirudisha
Hoja zote ni sahihi kuhusu Mboqe na Lissu.
Lakini tuwe wakweli hoja namba moja yeye ndiye aliyesalitiwa.

Baada ya kusalitiwa kama mwanadamu naye alijenga beef.

Tuwage wakweli tuache umbumbu wa Kitanzania.

Hata wewe rafiki yako akikusaliti hutampenda.
 
Lissu anasemaje? Mwabukusi jee? Si alikua Akifanya kazi yao?? Leo mbona hamna harakati Za kumkomboa?? Si ilisemwa humu Lissu ndo Kiboko ya Samia?? Vipi asimuokoe Slaa?
Kina Lema na Heche wamebakia ku tweet tu kule X.
Kweli uongozi si harakati&maneno😂😂
 
Lissu anasemaje? Mwabukusi jee? Si alikua Akifanya kazi yao?? Leo mbona hamna harakati Za kumkomboa?? Si ilisemwa humu Lissu ndo Kiboko ya Samia?? Vipi asimuokoe Slaa?
Slaa kafanya kazi gani ya Lissu ?

Team Mbowe bado hamjamaliza uchaguzi mpaka sasa.
 
Hoja zote ni sahihi kuhusu Mboqe na Lissu.
Lakini tuwe wakweli hoja namba moja yeye ndiye aliyesalitiwa.

Baada ya kusalitiwa kama mwanadamu naye alijenga beef.

Tuwage wakweli tuache umbumbu wa Kitanzania.

Hata wewe rafiki yako akikusaliti hutampenda.
Na sio kwenda ccm mpaka kupewa ubalozi baada ya magufuli kufariki ghafla kutaka kurudi upinzani
 
Back
Top Bottom