Dkt. Slaa ashauriwe

Chadema Sasahivi ina mbunge mmoja,tena nae ni mwananke [emoji1787][emoji1787][emoji1787]harafu mnasema haijafa,labda Chadema ya jamii forums
Mpuuzi kweli wewe! Unaamini kuwa 2020 alishinda Mbunge mmoja tu wa CHADEMA!!!! Huyo jamaa yenu aliyeharibu uchaguzi ule apumzike kwa amani
 
Mzee SLAA ana Vitu viwili vinamchezea
NJAA na LAANA
 
Siku Dr slaa akiweka jinsi gani chadema ilivyo pokea kitita Cha lowasa na kupewa kupeperusha bendera ya CDM sijui itakuaje
Ikumbukwe kuwa mzee hyu hakurupukagi hvyo na ndio maan amekuja adharani kbsa kuomba radhi kwa kile kilichotokea kwa kutopata taarifa kamili

I'll Dr slaa anawjuwa CDM nje ndani
 
Babu njaa inamwandama hakujipanga ujanani..!! Asaidiwe apate ajira atulie.
Yani tuache kufikiria vijana wanaomaliza vyuo tuendelee kuendekeza mizee inayotaka kuhonga malaya hadi uzeeni?
 
anatumika na maccm
 
Sikitiko la mahaba linazidi la msiba, Babu padiri slaa anaugulia maumivu makali ya kutoswa na mchumba wake mshumbushi, pole sana babu yetu padiri slaa.
Ana damu ya uasi kwa kuliasi kani, vyama, mke na hatimaye anajiasi mwenyewe.
 
Halafu hii takataka mlikuwa mnailinganisha na Prof Ibrahim Lipumba ??
 
Yaani hii ni ishara kubwa kuwa Jiwe alikuwa amekamata kor....i za wengi. Hivi sasa anageuza kibao (Yes anatetea but why the sudden change/turning around?? Pamoja na kuwa anatetea but UAMINIFU aka TRUST ukishaivunja ONCE kuirudisha kama ilivyokuwa mwanzo ni ngumu sana. What if akatokea JIWE au The Queen akabadilika ghafla na kumsamehe mbeba silaha na kumtunuku cheo mahali............. Je hatakengeuka tena kama enzi za Jiwe?

Ametest maji kwa ncha ya kidole yamemwunguza........ Surely sio wa kuaminiwa tena huyu.
Mwamba ni Mh. Mbowe na mashjaa wengine wa kambi ya Upinzani waliovumilia mateso bila ku-give up

Ujumbe huu uende kwa wale wote waliowahikubeba ufahari wa kuwa wanaharakati na wakaishiwa pumzi njiani;
  • Prof. Kitila Mkumbo (Alikuwaga kinara wa migomo Chuoni enzi zake - I admired him for that - Alinifanya nikatembea mto Ubungo kwenye maji kukwepa mabomu na virungu vya wajeda enzi hizo - Revolution Square)
  • Dkt. Slaa enzi akiwa Upinzani kabla haja.........sijui hata nisemeje
  • Mh. Msigwa???
  • Kaka Msigwa aiii huyu aisee enzi ako Songea kama mwandishi wa habari (Katika nafasi yetu alikuwa so very radical...nway...)

Yuko wapi kaka Deus Kibamba?...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…