Dkt. Slaa kurejea CHADEMA na kugombea urais kupitia chama hicho, tujiandae na mchuano mwingine ndani ya CHADEMA wa kupata wa mgombea urais?

Dkt. Slaa kurejea CHADEMA na kugombea urais kupitia chama hicho, tujiandae na mchuano mwingine ndani ya CHADEMA wa kupata wa mgombea urais?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Nani anaaminika na kukubalika zaidi ndani ya chadema na anaweza kua na nafasi nzuri zaidi ya kupewa fursa ya kubeba jukumu hilo muhimu la kupeperusha bendera ya chama hicho, kati ya mwenyekiti wa chadema taifa wa sasa na aliewahi kua katibu mkuu wa chadema taifa?

Au tutegemee siasa za chuki zaidi zilizopoteza uelekeo na kushuhudia muendelezo wa migawanyiko, utapeli wa pesa na kupinga misingi ya kuanzishwa kwa chadema kama vile kususia uchguzi, na kujiepusha kabisa na michakato ya kidemokrasia mathalani kushiriki na kushinda uchguzi na hatimae kuongoza serikali?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Wote wana tamaa ya Madaraka Lissu na Slaa hii ni hatari. Asipoangalia Lissu atakipoteza chama na CCM wataendelea kuwatupia punje kuku ili wawakamate na kuwachinja. Wanachama kuweni macho na Dr Slaa
 
Wote wana tamaa ya Madaraka Lissu na Slaa hii ni hatari. Asipoangalia Lissu atakipoteza chama na CCM wataendelea kuwatupia punje kuku ili wawakamate na kuwachinja. Wanachama kuweni macho na Dr Slaa
Nonsense.
 
Huwezi kujadili mambo makubwa kama haya kwa elimu yako ya darasa la 7.
waTanzania kila kona ya Tanzania wanamuamini na kumpenda sana Dr.Samia Suluhu Hassan regardless ya kiwango cha elimu zao,

bila makasiriko wala mihemko, unazungumziaje hali hiyo kisiasa? :pedroP:
 
Acha kupotezea muda watu na threads zako za hadithi za Alfu lela ulela, Kalumekenge na hadithi za Esopo!
Chadema zina utaratibu wa kuigwa kumpata mgombea na zitafuatwa na kuzingatiwa.
Sio huko kwenu asiko pewa nafasi mtu yeyote hadi Mzanzibar ambaye hajawahi kushindanishwa na yeyote anajiteua na kujipitisha na hakuna kuhoji, ukihoji unafukuzwa chama au kama una influence kama January unaitwa jukwaani unakumbatiwa na kupetiwapetiwa eti "umerudishwa na mama" kisha woooote mnachekelea kama mazuzu!
Khaa! Hilo limbwata mlilolishwa ni next level.
 
Nani anaaminika na kukubalika zaidi ndani ya chadema na anaweza kua na nafasi nzuri zaidi ya kupewa fursa ya kubeba jukumu hilo muhimu la kupeperusha bendera ya chama hicho, kati ya mwenyekiti wa chadema taifa wa sasa na aliewahi kua katibu mkuu wa chadema taifa?

Au tutegemee siasa za chuki zaidi zilizopoteza uelekeo na kushuhudia muendelezo wa migawanyiko, utapeli wa pesa na kupinga misingi ya kuanzishwa kwa chadema kama vile kususia uchguzi, na kujiepusha kabisa na michakato ya kidemokrasia mathalani kushiriki na kushinda uchguzi na hatimae kuongoza serikali?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
saa100 ameshindanishwa na nani huko chichiemu
 
Acha kupotezea muda watu na threads zako za hadithi za Alfu lela ulela, Kalumekenge na hadithi za Esopo!
Chadema zina utaratibu wa kuigwa kumpata mgombea na zitafuatwa na kuzingatiwa.
Sio huko kwenu asiko pewa nafasi mtu yeyote hadi Mzanzibar ambaye hajawahi kushindanishwa na yeyote anajiteua na kujipitisha na hakuna kuhoji, ukihoji unafukuzwa chama au kama una influence kama January unaitwa jukwaani unakumbatiwa na kupetiwapetiwa eti "umerudishwa na mama" kisha woooote mnachekelea kama mazuzu!
Khaa! Hilo limbwata mlilolishwa ni next level.
mbona unabaaika na kumbwelambwela nazo sasa gentleman?

jikite kwenye hoja mahususi na itapendeza zaidi:NoGodNo:
 
Back
Top Bottom