the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Kwa nini ??Huyu mzee bado ana akili za kitumwa.
Kama za Bibi KidudeHuyu mzee bado ana akili za kitumwa.
Bila kufungwa ulimwenguni usingemjua mandela , nadhani yuko sahihi, wengi wa wanaonynyaswa na mamlaka hujulikana sana ulimwenguni.Huyu mzee bado ana akili za kitumwa.
Kujulikana duniani kunamsàidia nini zaidi ya kuwa omba omba?Kwa nini ??
huyu mzee anatafuta sababu ya kuondokea duniani wa kumwangalia sana huyu usijeambiwa umemuondoa kumbe alikuwa anatafuta sababuAliyewahi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA, Dkt Wilbroad Slaa ameeleza kuwa makosa yanayofanywa na serikali yanawapa wao (wapinzani) nafasi ya kutambulika dunia nzima, mathalani yeye kufungwa kwake kumpa nafasi ya kwenda kuzungumza na watu mbalimbali ulimwenguni na kujulikana hata na wasiokuwa wanamfahamu.
View attachment 3259676
Soma pia Pre GE2025 - Dkt. Willibrod Slaa aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na kesi
Allah amrehem BI kidude.Kama za Bibi Kidude
Hee umetumia kigezo gani.Huyu mzee bado ana akili za kitumwa.
Yuko zaidi ya miaka 70 ameshatimiza miaka ya ahadi hadaiwi. Jitafakari sana kama hujafikia umri wake.huyu mzee anatafuta sababu ya kuondokea duniani wa kumwangalia sana huyu usijeambiwa umemuondoa kumbe alikuwa anatafuta sababu
Eeh Tupe sababu za Akili ya kitumwaHuyu mzee bado ana akili za kitumwa.
Alitembeza kibaba kwako?Kujulikana duniani kunamsàidia nini zaidi ya kuwa omba omba?
Huyu mzee bado ana akili za kitumwa.
Vipi yule anayeuza mali za Tanganyika kwa Warabu ana akili.za nini?Huyu mzee bado ana akili za kitumwa.
Ushamba mzigoAliyewahi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA, Dkt Wilbroad Slaa ameeleza kuwa makosa yanayofanywa na serikali yanawapa wao (wapinzani) nafasi ya kutambulika dunia nzima, mathalani yeye kufungwa kwake kumpa nafasi ya kwenda kuzungumza na watu mbalimbali ulimwenguni na kujulikana hata na wasiokuwa wanamfahamu.
View attachment 3259676
Soma pia Pre GE2025 - Dkt. Willibrod Slaa aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na kesi
huyu mzee anatafuta sababu ya kuondokea duniani wa kumwangalia sana huyu usijeambiwa umemuondoa kumbe alikuwa anatafuta sababu
Mkuu mtu alishawahi kuwa hadi Balozi unasema ni mshamba? ama ushamba wa kwenye nini?Ushamba mzigo
Kwake yatoshaKujulikana duniani kunamsàidia nini zaidi ya kuwa omba omba?
Mshamba huyoMkuu mtu alishawahi kuwa hadi Balozi unasema ni mshamba? ama ushamba wa kwenye nini?