Dkt. Slaa: Mimi ni mmoja wa waanzilishi wa CCM. Wakati ule muundo wa maisha ulikulazimu kuwa TANU

Dkt. Slaa: Mimi ni mmoja wa waanzilishi wa CCM. Wakati ule muundo wa maisha ulikulazimu kuwa TANU

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Dtk. Wilbroad Slaa akihojiwa na Clouds TV amedai kuwa mmoja wa waanzilishi wa CCM na alikuwa kiongozi. Amesema kwa wakati ule kulikuwa hakuna namna ya kutokuwa TANU.

Nimekuwa katbu waTANU tangu mwaka 1973 hadi 1977. NaTANU ilipogeuka kuwa CCM, mimi ni mmoja wa waanzilishi wa CCM mpaka 1978.

Nilikuwa kiongozi hata nikipokwenda Roma baadaye nilikuwa katibu wa shina la tawi la Wizara ya Mambo ya Nje na kule Italia nilikuwa pia Katibu wa TANU. Na wakati huo ndio ulikuwa muundo wa maisha, ulikuwa huwezi kuwa chochote lazima ilikuwa uwe ndani ya TANU na hata kwenda Ulaya kilichokuwa kinaangaliwa ni kadi ya TANU.
 
CCM ni Kama Simba,hapo mwanzo ilikua Sunderland,queens nk, CCM watu walibadilisha tu chama Cha watu kilichoanza 1920s huko
 
Halafu Leo akidai katiba mpya uvccm wanamtukana kama wanavyomtukana warioba!!

Chawa watokomezwe na katiba ipatikane ujinga uishe nchini!!

Kuna wengine wanasema eti CCM Ina wenyewe yaani upuuzi mtupu!!
 
Back
Top Bottom