Tetesi: Dkt Slaa, Msigwa, Silinde, Nassari, Mwambukusi na wenzao wengi wakiwemo Covid 19 kurejea CHADEMA baada ya John Heche kuchukua udhibiti CHADEMA

Naunga mkono hoja.
 
Huyo john heche hata sura yake hainijii japo jina lake nalijua. Eti ndio vigogo wa chadema kama kina lissu mnyika lema yule mkora wa mbeya mfokaji wamkubali na hata Dr Slaa arudi kwa ajili yake? Wewe unachekesha. Mtu ambaye angeweza kuirudisha chadema kuaminiwa tena ni Dr Slaa peke yake.
 
Heche sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…