Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Dkt. Slaa akiwa anazungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo Julai 12, 2023 asema, Rais anapoajiri watu wake hatutaki uaajiri machawa ambao wanatumia kodi zetu.
Akiongeza kuwa kila siku Rais unatupandishia Tozo kwenye simu, bei ya vyakula na kila kitu na kwenda kulipa machawa wake.
Na kwamba tulimpa kazi Rais Samia kikatiba ili atupatie watu wa kuhudumia taifa hili kwa mujibu wa ibara ya 8 ya katiba ya Tanzania.
Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Akiongeza kuwa kila siku Rais unatupandishia Tozo kwenye simu, bei ya vyakula na kila kitu na kwenda kulipa machawa wake.
Na kwamba tulimpa kazi Rais Samia kikatiba ili atupatie watu wa kuhudumia taifa hili kwa mujibu wa ibara ya 8 ya katiba ya Tanzania.
Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka