Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
😂😂😂Kwahiyo sasa si mkataba ...ila anaeshambuliwa ni Rais personal...??
Kwahiyo sasa si mkataba ...ila anaeshambuliwa ni Rais personal...??
Ni kweli lakiniTuutumie tena usemi wa Tundu Lisu usemao "tuna rais wa ajabu haijawahi kutokea?"
Kwani hujui rais alimruhusu mbarawa kusaini mkataba.Kwahiyo sasa si mkataba ...ila anayeshambuliwa ni Rais personal?
Imeashuka kwa speed mno.Mzee credibility yako naamini imeshuka sana kipindi hiki cha suala la bandari.
Zamani ulipokuwa ukileta story zako za operation za kijeshi nilizani ni mtu mwenye IQ kubwa kumbe daah...Kwahiyo sasa si mkataba ...ila anayeshambuliwa ni Rais personal?
Kwani huyu jamaa kakosea wapi?Zamani ulipokuwa ukileta story zako za operation za kijeshi nilizani ni mtu mwenye IQ kubwa kumbe daah...
Kichwani hamna kitu.
Ulikuwa una copy na ku-paste
Nashangaa kwakweli.
Huu ujinga wako umeurithi wapi?Kwahiyo sasa si mkataba ...ila anayeshambuliwa ni Rais personal?
Acha upumbavu kwa hiyo mtu mkitofautiana mitazamo ndio sababu ya kuvunjiana heshima.Nashangaa kwakweli.
Jamaa Kawa chawa hatari,
ubongo kausahau arabuni
Alikuambia ana hitaji heshima yako. Punguza shoboZamani ulipokuwa ukileta story zako za operation za kijeshi nilizani ni mtu mwenye IQ kubwa kumbe daah...
Kichwani hamna kitu.
Ulikuwa una copy na ku-paste