Dkt. Slaa: Sijavuliwa Ubalozi, Rais hana mamlaka ya kuvua ovyo kama chapati

Dkt. Slaa: Sijavuliwa Ubalozi, Rais hana mamlaka ya kuvua ovyo kama chapati

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Dkt. Wilbroad Slaa akizungumza kwenye mahojiano na Crown FM amesema "Sijavuliwa ubalozi, ni nyie mnasema hizo taarifa niliziona kwenye vyombo vya habari" baada ya kuulizwa kuhusu taarifa za kuvuliwa kwake ubalozi na Rais Samia.

Soma: Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Novemba 2017 aliteuliwa na Hayati John Magufuli kuiwakilisha Tanzania nchini Sweden, na Septemba Mosi, 2023 ilielezwa hadhi ya Ubalozi ya Dkt. Wilbroad Slaa imekoma rasmi.

Pia soma - Dkt. Slaa: Bado nina hadhi ya Ubalozi

 
Dkt. Wilbroad Slaa akizungumza kwenye mahojiano na Crown FM amesema "Sijavuliwa ubalozi, ni nyie mnasema hizo taarifa niliziona kwenye vyombo vya habari" baada ya kuulizwa kuhusu taarifa za kuvuliwa kwake ubalozi na Rais Samia.

Soma: Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Novemba 2017 aliteuliwa na Hayati John Magufuli kuiwakilisha Tanzania nchini Sweden, na Septemba Mosi, 2023 ilielezwa hadhi ya Ubalozi ya Dkt. Wilbroad Slaa imekoma rasmi.
Kwa hiyo alivuliwa Nini?
 
Back
Top Bottom