Pre GE2025 Dkt. Slaa: Tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania leo na siyo Oktoba 2025

Pre GE2025 Dkt. Slaa: Tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania leo na siyo Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Ameyasema hayo kupitia ClubHouse kujadili hotuba ya Tundu Antipas Lisu kulinganisha na hotuba ya Rais Samia hapo jana.

Dkt Slaa, amesema Lisu amezungumza mambo muhimu na msingi kuliko Rais Samia.

Anasema Dkt. Slaa kwamba, Rais Samia hajazungumzia rasilimali za nchi kwa mlinganyo wa wanufaika lakini amezungumzia masuala ya familia yake na viongozi wasaidizi wake. Samia hakuzungumzia masuala ya usalama na uhai wa raia hususan matukio ya utekaji nyara, kesi za kubumba na mauaji ya wakosoajj wake.

Amehitimisha kwa kusema hotuba ya leo ya Lisu imejali maisha na uhai wa Watanzania kuliko hotuba ya Samia hapo jana.

Ninamuunga mkono Tundu Lisu for Presidency akianzia na kupata uenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Nawatakia heri ya Mwaka Mpya
Amandla
 
Ameyasema hayo kupitia ClubHouse kujadili hotuba ya Tundu Antipas Lisu kulinganisha na hotuba ya Rais Samia hapo jana.

Dkt Slaa, amesema Lisu amezungumza mambo muhimu na msingi kuliko Rais Samia.

Anasema Dkt. Slaa kwamba, Rais Samia hajazungumzia rasilimali za nchi kwa mlinganyo wa wanufaika lakini amezungumzia masuala ya familia yake na viongozi wasaidizi wake. Samia hakuzungumzia masuala ya usalama na uhai wa raia hususan matukio ya utekaji nyara, kesi za kubumba na mauaji ya wakosoajj wake.

Amehitimisha kwa kusema hotuba ya leo ya Lisu imejali maisha na uhai wa Watanzania kuliko hotuba ya Samia hapo jana.

Ninamuunga mkono Tundu Lisu for Presidency akianzia na kupata uenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Nawatakia heri ya Mwaka Mpya
Amandla
Huu msumari ugongelewe kila daraja na kila mti ulioko karibu na barabara
 
Ameyasema hayo kupitia ClubHouse kujadili hotuba ya Tundu Antipas Lisu kulinganisha na hotuba ya Rais Samia hapo jana.

Dkt Slaa, amesema Lisu amezungumza mambo muhimu na msingi kuliko Rais Samia.

Anasema Dkt. Slaa kwamba, Rais Samia hajazungumzia rasilimali za nchi kwa mlinganyo wa wanufaika lakini amezungumzia masuala ya familia yake na viongozi wasaidizi wake. Samia hakuzungumzia masuala ya usalama na uhai wa raia hususan matukio ya utekaji nyara, kesi za kubumba na mauaji ya wakosoajj wake.

Amehitimisha kwa kusema hotuba ya leo ya Lisu imejali maisha na uhai wa Watanzania kuliko hotuba ya Samia hapo jana.

Ninamuunga mkono Tundu Lisu for Presidency akianzia na kupata uenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Nawatakia heri ya Mwaka Mpya
Amandla
Well said
 
Tundu Lisu, ndiye tegemeo la pekee kwa nchi hii kwa sasa. Ndiye mtu anayeumizwa na kusikitishwa na mambo ya hovyo mengi kwa Taifa hili, na ambaye ana ujasiriwa kunena dhidi ya hayo, kwa sababu ni mtu mkweli na msafi.

Mungu wetu tunaomba amlinde, azidi kumwinua na kumweka juu ya wanafiki na maadui wote wa Taifa.
 
Tundu Lisu, ndiye tegemeo la pekee kwa nchi hii kwa sasa. Ndiye mtu anayeumizwa na kusikitishwa na mambo ya hovyo mengi kwa Taifa hili, na ambaye ana ujasiriwa kunena dhidi ya hayo, kwa sababu ni mtu mkweli na msafi.

Mungu wetu tunaomba amlinde, azidi kumwinua na kumweka juu ya wanafiki na maadui wote wa Taifa.
Aminaa Kaka Mtumishi wa Mungu.
 
Kwanchi sawa lkn sikwa chama kwasababu kuongoza nchi ni kuepesi kwakuwa anamajeshi anaweza kudictate na watu wakatii tofauti na kuwa opposition AMBAPO hekima busara zinaomhoza zaidi
 
Back
Top Bottom