Dkt. Slaa: Tusitegemee muujiza kwenye kitu kinachoitwa Katiba

Now that wameshamtoa ubalozini… yuko chama gani?

Maana alijivuruga sana
 
Kama hii katiba iliyopo inakiukwa wazi wazi namna hii na hamna lolote la maana linalofanyika kupinga ukiukwaji huo, hiyo katiba mpya inahitajika ili iweje?

Mara karibu zote ambapo katiba imeonekana kukiukwa, hakuna cha maana ambacho wananchi tumefanya zaidi ya kujimwambafy humu kwenye mitandao.

Hakuna aliyethubutu kuingia barabarani na kupinga. Hakuna aliyefungua kesi mahakamani. Tumelia lia tu humu mitandaoni.

Sasa hiyo katiba mpya tukiipata, ikikiukwa ndo itatuwezesha kupata ujasiri wa kupinga kukiukwa kwake?

Nimeanza kudhani pengine tatizo letu si katiba mpya pekee. Tatizo letu kubwa ni sisi wenyewe. Tunaachia tu mambo yaende hata kama yapo kinyume na katiba.

A new constitution will not be worth the paper it’s written on if we allow and let the one we have to be breached with impunity!
 
Ni Nani anataka kumsikiliza Dr mihogo

Nani anaetaka msikiliza jamaa alieshikwa akili na mkewe

He is finished
 
We ni nani? unaemkejeli DK Slaa?? lazima tumpe heshima yake huyu mzee!! haijalishi alifanya nn? Yeye ni mwanadamu, Kama aliteleza.basi asamehewe!! sio kuwa lugha za kijinga Kama zako!
Kwahiyo wewe una heshimu kila mtu
 
TUWEKANE SAWA
Lowassa hakuja bure CHADEMA bali alikuja kwa fedha yake ambbayo ni hiyo Tsh 10 Billion. Mkakati wa UPINZANI mwaka 2015 ilikuwa through UKAWA.

Kwa Rais wa Muungano Dr Slaa alikuwa tayari popular kuliko mgombea yeyote yule. Mbowe na CDM walitumia muda wao wote wa 2008 hadi 2015 kumpakaza matope Lowassa kuwa ni FISADI kwa ile kashfa ya RICHMOND. Isingekuwa rahisi kimpokea hivihivi kwa kisingizio kuwa eti ndiye mgombea pekee anayeweza kuishinda CCM kwa mwaka ule. Huo ulikuwa ni uwongo tu kutetea hiyo fedha waliyochukua kwa Lowassa na kugawana na Baba mkwe wake Mtei na mgombea wa ZNZ Maalim Seif.

Hawa akina Lissu na Mnyika walipata kiasi cha mboga tu kufunga mdomo. Ukitaka ushahidi tafuta zile picha mtoto wa Mbowe alikuwa anasafiri First Class kwenye Emirates Air kwenda Hongkong kati ya September na December 2015. Alikwenda kuweka hela kwenye akaunti iliyopo benki ya HSBC.

Na hiyo ndiyo sababu iliyomchefua Dr Slaa na Prof Lipumba ambao jamii inawaona ni wasaliti wa UPINZANI mpaka sasa. Ni fedha tu no more
 
Kama mtu hajakuelewa hapa, aelezwe kwa kilugha chake.
 
Mkulima mvivu mwenye njaa anayelalamikia mpini wa jembe hata ukimpa trekta atapata sababu ya kulalamika mwishowe njaa haitamuacha sababu ni mvivu.
 
Ukitaka kunyanyua jinsia, ni suala lisilokuja kwa miujiza, hapa Tanzania mnaona ni jambo la ajabu
Kwanini wanawake wanalipwa ujira mdogo kuliko wanaume kwa kazi ileile kama kweli kuna usawa!!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…