Dkt. Slaa: Tusitegemee muujiza kwenye kitu kinachoitwa Katiba

Hivi huyu mzee kuhamia canada na lipumba kuhamia kigali shida ilikuwa nini hasa, na kilichowarudisha ni nini? kweli pesa inanunua utu.....
 
Kwani nani amemwambia kuwa wananchi wanataka katiba mpya ili iwaletee miujiza?
Ana maanisha kwamba katiba mpya haiwezi kubadilisha mahusiano kati ya wananchi na chama chochote cha siasa. Inabidi wajipange upya kisera ili waweze kuwashawishi wananchi
 
Huyu mzee nikikumbuka kampeni zake za mwaka 2010 pale jangwan dah.
 
Sawa kila mtu ana uhuru wa kutoa maon na Dr slaa n moja ya wanasiasa wenye msimamo lakin sote tunajua anatafuta ulaji mpya baada ya chakula chake kuelekea ku expire
 
Hawa walinunuliwa na nani?

 
Huyu mzee nikikumbuka kampeni zake za mwaka 2010 pale jangwan dah.
Huyo jamaa alikuwa anawaza kuwa president na akakwama!Angetulia "yawezekana" angefaulu.Hawara yake aliyempiga "shuntama waitu" ndiye alimkwamisha.๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Spidi ya Dr. Slaa kudai katiba mpya akiwa Chadema ilikuwa kubwa kuliko sasa akiwa CCM. Kiuhalisia na kwa maoni yangu, madai ya katiba mpya yanachagizwa na changamoto za kisiasa (hasa wanazopata wapinzani) kwa 75% zaidi kuliko changamoto za kiuchumi na kijamii. Nijuavyo, katiba ni agenda mtambuka, madai yake yanapaswa kwenda mbali zaidi ya siasa. Naamini siyo rahisi leo kwa wanasiasa hasa wa upinzani kuacha kuakisi madai ya katiba mpya kwenye siasa na kuyaakisi kwenye masuala ya uchumi-jamii. Chagizo za madai ya katiba mpya zina msingi wake kwenye agenda ya uchaguzi kwa asilima kubwa (hata Kenya Raila alifanya hivi hivi japo hakufanikiwa kuingia ikulu ambapo hata baada ya kupata katiba mpya aliyoiasisi yeye bado hakuridhika na kutulia, hii inadhihirisha kwamba kumbe katiba ni mtambuka zaidi ya kwenda ikulu). Ni ukweli kwamba leo hii akitokea kiongozi Tz atakayehakikisha usawia katika uwanja wa siasa za uchaguzi na demokrasia, madai ya katiba mpya yatachukuwa kasi ndogo bila ya kujali kwamba taifa bado lina changamoto kubwa za uchumi-jamii.

Ni maoni yangu sawa na ibara ya 18(1) ya katiba ya JMT ya 1977 (kama ilivyorekebishwa 2005).
 
Hata humu anaogopa kuingia kule Twitter account yake iko dormant. Anajua hana hoja ndiyo sababu anahofia mijadala mtandaoni kama alivyokuwa anashiriki miaka ya nyuma.

Huyu naye ni spent force, hana lolote kichwani. AAkifanya mchezo anarudi Bongo kulim bamia maana huku hakuna supermarket atafanya kazi kama Canada! Ignore this nonsense man
 
Alipokuwa CHADEMA alikuwa adui mkubwa sana wa CCM. Alitajwa kama ajenti wa Vatican mwenye misheni ya kuhakikisha Tanzania inatawaliwa na "mfumo Katoliki". Hapa JF mada za kumponda zilivunja rekodi. Aliitwa daktari wa kanoni, mzinzi, n.k. Hata Mbowe alisahaulika kama kiongozi wa chama. Alivyohamia CCM tu watu walewale wanadai CHADEMA na upinzani vilikufa Slaa "alipotimuliwa" CHADEMA. Wanadai alipoondoka nao wakaamua "kuachana na siasa"; "bora kutawaliwa na CCM". Wanamtukuza kama ndio "mpinzani pekee wa kweli aliyepata kutokea Tanzania"! This is pure BS!
 
The old fella,Wiliburode Siraha/sucks!๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Ana maanisha kwamba katiba mpya haiwezi kubadilisha mahusiano kati ya wananchi na chama chochote cha siasa. Inabidi wajipange upya kisera ili waweze kuwashawishi wananchi
Unaamini katika hilo aliloongea?Kijamaa halafu kizee kisanii.Let him rot in hell!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Baba Mushumbushi Bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ