Dkt. Slaa, yanatokea sasa ulijitakia mwenyewe. Ulishiriki kuwa sehemu ya maumivu ya Wapinzani

Dkt. Slaa, yanatokea sasa ulijitakia mwenyewe. Ulishiriki kuwa sehemu ya maumivu ya Wapinzani

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Kinachomtokea Wilbroad Slaa ni matokeo ya usaliti mkubwa alioufanya, alikuwa katibu mkuu wa Chadema; aliendesha harakati nzito za chama .aliongoza maandamano makubwa kule Arusha vijana wakapigwa risasi wakafa akashiriki kuwazika, majeneza Yao yalipambwa kwa bendera za chama.

Wewe ulitoa hotuba nzito sana ya uzalendo; maandamano ya Mbeya, Nyololo, Dar wakati wa Kikwete ulikuwa mwiba mchungu sana.

Ni nini kilikufanya uende kuyala matapishi Yako? Roho za vijana uliowahamasisha uzalendo na wakawa mstari wa mbele hata wakapoteza maisha,.wao wamelala lakini Wewe ukarudi kuitumikia CCM huoni huo ni usaliti na ni balaa kwako?

Ukiwa balozi wa CCM, Mbowe alikuwa gerezani, Lissu alipigwa risasi hukuonekana hata kusikitika huoni kwamba ule ni uchawi? Ni nini kitakuwa ahueni kwako? Hata nikikuangalia usoni naona Nuru Yako imepotea kabisa.

Hii ni rasha rasha lakini yapo mambo yatakupata na huenda uzee wako hautakuwa mzuri hata kidogo.

Chutama Toka hadharani waombe radhi wanachadema nchi mzima! Tubu maandiko matakatifu yanasema aonywaye mara nyingi akishupaza shingo atavunjika na hatapata dawa.
 
Kinachomtokea wilbroad slaa ni matokeo ya usaliti mkubwa alioufanya, alikuwa katibu mkuu wa chadema ; aliendesha harakati nzito za chama .aliongoza maandamano makubwa kule Arusha ,vijana wakapigwa risasi wakafa ,akashiriki kuwazika kishujaa ,majeneza Yao yalipambwa kwa bendera za chama ! Wewe ulitoa hotuba nzito sana ya uzalendo ...maandamano ya mbeya ..nyololo..dar wakati wa kikwete ulikuwa mwiba mchungu sana ! Ninini kilikufanya uende kuyala matapishi Yako? Roho za vijana uliowahamasisha uzalendo na wakawa mstari wa mbele hata wakapoteza maisha,.wao wamelala lakini Wewe ukarudi kuitumikia ccm huoni huo ni usaliti na ni balaa kwako? Ukiwa balozi wa ccm ,mbowe alikuwa gerezani ,lissu alipigwa risasi hukuonekana hata kusikitika huoni kwamba ule ni uchawi? Ninini kitakuwa ahueni kwako? Hata nikikuangalia usoni naona Nuru Yako imepotea kabisa ! Hii ni rasha rasha lakini yapo mambo yatakupata na huenda uzee wako hautakuwa mzuri hata kidogo ! Chutama Toka hadharani waombe radhi wanachadema nchi mzima! Tubu ...maandiko matakatifu yanasema .....aonywaye mara nyingi akishupaza shingo atavunjika na hatapata dawa !

Wapi umesikia kalalama? Acha hasira songa mbele !!
 
Kinachomtokea Wilbroad Slaa ni matokeo ya usaliti mkubwa alioufanya, alikuwa katibu mkuu wa Chadema; aliendesha harakati nzito za chama .aliongoza maandamano makubwa kule Arusha vijana wakapigwa risasi wakafa akashiriki kuwazika, majeneza Yao yalipambwa kwa bendera za chama.

Wewe ulitoa hotuba nzito sana ya uzalendo; maandamano ya Mbeya, Nyololo, Dar wakati wa Kikwete ulikuwa mwiba mchungu sana.

Ni nini kilikufanya uende kuyala matapishi Yako? Roho za vijana uliowahamasisha uzalendo na wakawa mstari wa mbele hata wakapoteza maisha,.wao wamelala lakini Wewe ukarudi kuitumikia CCM huoni huo ni usaliti na ni balaa kwako?

Ukiwa balozi wa CCM, Mbowe alikuwa gerezani, Lissu alipigwa risasi hukuonekana hata kusikitika huoni kwamba ule ni uchawi? Ni nini kitakuwa ahueni kwako? Hata nikikuangalia usoni naona Nuru Yako imepotea kabisa.

Hii ni rasha rasha lakini yapo mambo yatakupata na huenda uzee wako hautakuwa mzuri hata kidogo.

Chutama Toka hadharani waombe radhi wanachadema nchi mzima! Tubu maandiko matakatifu yanasema aonywaye mara nyingi akishupaza shingo atavunjika na hatapata dawa.
Wamemvua ubalozi ambao alizawadiwa baada ya usaliti mwaka 2015.......Ila bado pension yake ipo.
 
Kinachomtokea Wilbroad Slaa ni matokeo ya usaliti mkubwa alioufanya, alikuwa katibu mkuu wa Chadema; aliendesha harakati nzito za chama .aliongoza maandamano makubwa kule Arusha vijana wakapigwa risasi wakafa akashiriki kuwazika, majeneza Yao yalipambwa kwa bendera za chama.

Wewe ulitoa hotuba nzito sana ya uzalendo; maandamano ya Mbeya, Nyololo, Dar wakati wa Kikwete ulikuwa mwiba mchungu sana.

Ni nini kilikufanya uende kuyala matapishi Yako? Roho za vijana uliowahamasisha uzalendo na wakawa mstari wa mbele hata wakapoteza maisha,.wao wamelala lakini Wewe ukarudi kuitumikia CCM huoni huo ni usaliti na ni balaa kwako?

Ukiwa balozi wa CCM, Mbowe alikuwa gerezani, Lissu alipigwa risasi hukuonekana hata kusikitika huoni kwamba ule ni uchawi? Ni nini kitakuwa ahueni kwako? Hata nikikuangalia usoni naona Nuru Yako imepotea kabisa.

Hii ni rasha rasha lakini yapo mambo yatakupata na huenda uzee wako hautakuwa mzuri hata kidogo.

Chutama Toka hadharani waombe radhi wanachadema nchi mzima! Tubu maandiko matakatifu yanasema aonywaye mara nyingi akishupaza shingo atavunjika na hatapata dawa.
Kwa hiyo na wewe ni great thinker?
Kwa nini usimuulize Mbowe kwanza, Lowasa alitokea wapi?
Mbowe alilipwa shilingi ngapi na Lowasa ili apate urais kupitia chadema?
 
Ni kawaida kwa watanzania kula matapishi wanaenda na upepo tu.


Saizi hao unaowaita wapinzani hata humu JF wapo wananata na beat ya babu.
 
Kinachomtokea Wilbroad Slaa ni matokeo ya usaliti mkubwa alioufanya, alikuwa katibu mkuu wa Chadema; aliendesha harakati nzito za chama .aliongoza maandamano makubwa kule Arusha vijana wakapigwa risasi wakafa akashiriki kuwazika, majeneza Yao yalipambwa kwa bendera za chama.

Wewe ulitoa hotuba nzito sana ya uzalendo; maandamano ya Mbeya, Nyololo, Dar wakati wa Kikwete ulikuwa mwiba mchungu sana.

Ni nini kilikufanya uende kuyala matapishi Yako? Roho za vijana uliowahamasisha uzalendo na wakawa mstari wa mbele hata wakapoteza maisha,.wao wamelala lakini Wewe ukarudi kuitumikia CCM huoni huo ni usaliti na ni balaa kwako?

Ukiwa balozi wa CCM, Mbowe alikuwa gerezani, Lissu alipigwa risasi hukuonekana hata kusikitika huoni kwamba ule ni uchawi? Ni nini kitakuwa ahueni kwako? Hata nikikuangalia usoni naona Nuru Yako imepotea kabisa.

Hii ni rasha rasha lakini yapo mambo yatakupata na huenda uzee wako hautakuwa mzuri hata kidogo.

Chutama Toka hadharani waombe radhi wanachadema nchi mzima! Tubu maandiko matakatifu yanasema aonywaye mara nyingi akishupaza shingo atavunjika na hatapata dawa.
Cjui point yako nini Chief
 
Kwa hiyo na wewe ni great thinker?
Kwa nini usimuulize Mbowe kwanza, Lowasa alitokea wapi?
Mbowe alilipwa shilingi ngapi na Lowasa ili apate urais kupitia chadema?
Slaa alishiriki mchakato wote wa ujio wa Lowasa ila alishikiwa akili na yule kahaba wake Jose ambaye alikuwa manipulated na TISS hadi akaisaliti UKAWA.
 
Ni kawaida kwa watanzania kula matapishi wanaenda na upepo tu.


Saizi hao unaowaita wapinzani hata humu JF wapo wananata na beat ya babu.
Mfano angekuwa Bado ni balozi Ninini angeongea kuhusu bandari?
 
Kwa hiyo na wewe ni great thinker?
Kwa nini usimuulize Mbowe kwanza, Lowasa alitokea wapi?
Mbowe alilipwa shilingi ngapi na Lowasa ili apate urais kupitia chadema?
Great thinker ni wewe sio mimi
 
Back
Top Bottom