Dkt. Tulia aitetemesha Mbeya. Atua kijeshi na ndege ya Jeshi

Hakika ujinga wa uzeeni lazima utakufa nao tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hakuna ulipoweka ushahidi wa hayo uzungumzayo zaidi ya porojo tu?
HV wee Ni mgeni wa mtaandao wa kijamii eeh [emoji847]

Sasa kwa taarifa yko mbeya kwenu huko kote had songwe sumbawanga Ni chimbo la wachawi na ushirikina mm nikitoka huko 2018 kwa ulozi hamjambo
 
Sasa kutua kwake "kijeshi" Kuna leta haueni gani? Hizi ni mbinu tu zakytafuta kura kwa ajili ya samia,
Hv watoto wake walikuwepo hapo kwenye umati!
Aaah hapana, palijaa pangu pakavu Tia mchuzi,
Hoe hae,apeche alolooo!
Wanakuja kushangaa ukwasi, watu wakubwa, na ili japo wasahsu kidogo shida zao
 
Muwaache wanaMbeya watulimie Maparachichi na Ndizi jamani. Hao hawahitaji kampeni. Kampeni ni akili zao[emoji3]
 
Mpango wa Mungu atakuwa yeye!
 
Namba ili akutafute?, unakuta ni kijana uache kufanya kazi unatafuta uchawa
 
Anayeweza kutetemesha Mbeya ni Mungu wa Majeshi na siyo binadam anayekufa na kuoza.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…