Dkt. Tulia alilipia Tiketi 1000, mechi ya Mbeya City FC dhidi ya African Sports!

Dkt. Tulia alilipia Tiketi 1000, mechi ya Mbeya City FC dhidi ya African Sports!

upupu255

Senior Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
119
Reaction score
144
Mbunge wa Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, ameonyesha ukarimu kwa kuwalipia mashabiki wa Klabu ya Mbeya City tiketi 1000, ili kuipa nguvu katika mechi dhidi ya African Sports. Mchezo huo wa Ligi ya Championship ya NBC ulipigwa kwenye Uwanja wa Sokoine, Jumatatu, Februari 17, 2025, kuanzia saa 10:00 jioni.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Hatua hii ya Dkt. Tulia inalenga kuongeza hamasa kwa mashabiki na kusaidia timu ya Mbeya City kupata sapoti kubwa katika harakati zake za kusaka nafasi ya kurejea Ligi Kuu ya NBC. Mechi hiyo ilimalizika kwa Mbeya City kushinda bao 5-2.

Snapinst.app_479903813_18488932819023594_809613235721775824_n_1080.jpg

Msimo wa Ligi baada ya mzunguko wa 19

1739868632700.png
 
Tiketi moja ni kiasi gani? 1,000? 5000? 10000?

Tunazungumzia kati ya sh 1,000,000 na 10,000,000 pengine sio?
  • Ukiondoa ujira halali anaolipwa spika, uwezo wa kuchezea zaidi ya milioni 3 kwaajili ya kuwalipia watu waangalie mechi hana.
  • Ukiweka wizi wanaofanya, hiyo pesa kama ni kwaajili ya kuwafurahisha watu ili wampe tena ulaji ni ndogo sana, afanye zaidi.

Ukiacha pesa wanazokwapua, zile pesa za jimbo huwa anafanyia nini?
 
Mbunge wa Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, ameonyesha ukarimu kwa kuwalipia mashabiki wa Klabu ya Mbeya City tiketi 1000, ili kuipa nguvu katika mechi dhidi ya African Sports. Mchezo huo wa Ligi ya Championship ya NBC ulipigwa kwenye Uwanja wa Sokoine, Jumatatu, Februari 17, 2025, kuanzia saa 10:00 jioni.

Hatua hii ya Dkt. Tulia inalenga kuongeza hamasa kwa mashabiki na kusaidia timu ya Mbeya City kupata sapoti kubwa katika harakati zake za kusaka nafasi ya kurejea Ligi Kuu ya NBC.

View attachment 3240405
Msimo wa Ligi baada ya mzunguko wa 19

View attachment 3240420
🗑
 
Kuna mtu akiona hii anabubujika na machozi soon kutakuwa na uzi kabsa
 
Kuna huyu mkenda waziri WA elimu na mbunge WA Rombo aloooo anachoweza n kuandaa Tu ndondo cup na hospital kama karume hamna dawa wala drip
 
Tunapumbazwa na michezo tunasahau mambo ya muhimu zaidi katika maisha
Mbunge wa Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, ameonyesha ukarimu kwa kuwalipia mashabiki wa Klabu ya Mbeya City tiketi 1000, ili kuipa nguvu katika mechi dhidi ya African Sports. Mchezo huo wa Ligi ya Championship ya NBC ulipigwa kwenye Uwanja wa Sokoine, Jumatatu, Februari 17, 2025, kuanzia saa 10:00 jioni.

Hatua hii ya Dkt. Tulia inalenga kuongeza hamasa kwa mashabiki na kusaidia timu ya Mbeya City kupata sapoti kubwa katika harakati zake za kusaka nafasi ya kurejea Ligi Kuu ya NBC. Mechi hiyo ilimalizika kwa Mbeya City kushinda bao 5-2.

View attachment 3240405
Msimo wa Ligi baada ya mzunguko wa 19

View attachment 3240420
Azwa 9
Mbunge wa Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, ameonyesha ukarimu kwa kuwalipia mashabiki wa Klabu ya Mbeya City tiketi 1000, ili kuipa nguvu katika mechi dhidi ya African Sports. Mchezo huo wa Ligi ya Championship ya NBC ulipigwa kwenye Uwanja wa Sokoine, Jumatatu, Februari 17, 2025, kuanzia saa 10:00 jioni.

Hatua hii ya Dkt. Tulia inalenga kuongeza hamasa kwa mashabiki na kusaidia timu ya Mbeya City kupata sapoti kubwa katika harakati zake za kusaka nafasi ya kurejea Ligi Kuu ya NBC. Mechi hiyo ilimalizika kwa Mbeya City kushinda bao 5-2.

View attachment 3240405
Msimo wa Ligi baada ya mzunguko wa 19

View attachment 3240420
Pamoja
Mbunge wa Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, ameonyesha ukarimu kwa kuwalipia mashabiki wa Klabu ya Mbeya City tiketi 1000, ili kuipa nguvu katika mechi dhidi ya African Sports. Mchezo huo wa Ligi ya Championship ya NBC ulipigwa kwenye Uwanja wa Sokoine, Jumatatu, Februari 17, 2025, kuanzia saa 10:00 jioni.

Hatua hii ya Dkt. Tulia inalenga kuongeza hamasa kwa mashabiki na kusaidia timu ya Mbeya City kupata sapoti kubwa katika harakati zake za kusaka nafasi ya kurejea Ligi Kuu ya NBC. Mechi hiyo ilimalizika kwa Mbeya City kushinda bao 5-2.

View attachment 3240405
Msimo wa Ligi baada ya mzunguko wa 19

View attachment 3240420
 
Back
Top Bottom