Rais kasema uwanja utajengwa. Period!Dah! Maspika wetu hawa yaani
Hili swali ilitakiwa kabisa spika ndio aulize au kama mbunge akiuliza basi ilitakiwa spika amuunge mkono kuhitaji majibu kujua iwapo uwanja bajeti yake haijatengwa utajengwaje!
Angalia jibu lake lakini "Rais amesema Uwanja utajengwa, kwa hiyo kama upo au haupo kwenye Bajeti Rais kashasema, ndio Sheria hiyo"
Tunadata naye hivyo hivyoHamnaga ka mtu kajinga kama ka Tulia,kwanza kabayaaa
Pili ,kembambaaaaa ila K bwakuuuuuuHamnaga ka mtu kajinga kama ka Tulia,kwanza kabayaaa
Hata kama inajengwa na AFDB lazima ionekane kwenye mipango ya nchiMsalato Airport inajengwa kwa mkopo kutoka AFDB ambao ulishapitishwa kitambo sana, kuna tatizo kubwa kwa hawa wawakilishi wa wananchi, kabla ya kuropoka bungeni wanatakiwa kufanya utafiti
Ni wazi pia Dkt. Tulia hana ufahamu wa kinachoendelea kwa namna alivyomjibu kiwepesi huyo mbunge
Umeangalia kwenye mipango ya miaka iliyopita ukaikosa?Hata kama inajengwa na AFDB lazima ionekane kwenye mipango ya nchi
Umeelewa kiini cha swali alilouliza mbunge na majibu ya Naibu spika?Umeangalia kwenye mipango ya miaka iliyopita ukaikosa?