SahihiMiradi mingi iliyoachwa na JPM haitaendelezwa kwa sababu uwezo wa kukusanya fedha wa serikali hii ni mdogo sana watakuja na visingizio kua haina tija tunaipiga chini ukweli ni kwamba hawana fedha
Naibu Spika hajui kazi na majukumu ya Bunge? DuhKatika kipindi cha maswali na majibu, Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, amesema Naibu Waziri hawezi kusema kitu tofauti na alichozungumza Rais
Amesema hayo baada ya Mbunge Kunti Majala kuhoji ni lini Serikali itajenga Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato akisema haupo kwenye Bajeti ya 2021/22
Dkt. Tulia ameeleza, "Rais amesema Uwanja utajengwa, kwa hiyo kama upo au haupo kwenye Bajeti Rais kashasema, ndio Sheria hiyo"
Hapana, naomba unieleweshe..Umeelewa kiini cha swali alilouliza mbunge na majibu ya Naibu spika?
Jamani tuwe waungwana jamani hata dini zetu zimetuonya.Pili ,kembambaaaaa ila K bwakuuuuuu
Miradi mingi iliyoachwa na JPM haitaendelezwa kwa sababu uwezo wa kukusanya fedha wa serikali hii ni mdogo sana watakuja na visingizio kua haina tija tunaipiga chini ukweli ni kwamba hawana fedha
Beth, siamini ulichokiandika hapa. Naibu Spika ni msomi wa hali ya juu mwenye shahada ya uzamivu ya sheria. Siamini anaweza kusema upupuDah! Maspika wetu hawa yaani
Hili swali ilitakiwa kabisa spika ndio aulize au kama mbunge akiuliza basi ilitakiwa spika amuunge mkono kuhitaji majibu kujua iwapo uwanja bajeti yake haijatengwa utajengwaje!
Angalia jibu lake lakini "Rais amesema Uwanja utajengwa, kwa hiyo kama upo au haupo kwenye Bajeti Rais kashasema, ndio Sheria hiyo"
Kama hawajaconclude majadiliano na AfDB hauwezi kuonekana kwenye bajetiHata kama inajengwa na AFDB lazima ionekane kwenye mipango ya nchi
Yapo hivyo hivyo mkuu, nimeona video kwa Millard Ayo...Manenno halisi aliyosema Naibu Spika yako wapi? Kuna video au audio?
Miradi iliyo achwa haitosimama. haswa ile ambayo ujenzi umeshanza.Miradi mingi iliyoachwa na JPM haitaendelezwa kwa sababu uwezo wa kukusanya fedha wa serikali hii ni mdogo sana watakuja na visingizio kua haina tija tunaipiga chini ukweli ni kwamba hawana fedha
Huyo mbunge kajibiwa kijeuri.Japo sioni tija ya huo uwanja kwa wakati huu.Kauli ya Rais ni agizo. Naibu spika amemkumbusha mbunge kuwa jana Rais aliliongelea suala hilo alipokutana na wanawake, hivyo aondoe wasiwasi kwa kuuliza swali kuhusiana na kile kilichoelezwa na mamlaka ya juu kabisa ya nchi.
Alijibu hivyo kwa kuwa uwanja huo amepatiwa mkopo na benki ya Afrika kwa hiyo serikali haitatoa pesa.
Katika kipindi cha maswali na majibu, Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, amesema Naibu Waziri hawezi kusema kitu tofauti na alichozungumza Rais.
Amesema hayo baada ya Mbunge Kunti Majala kuhoji ni lini Serikali itajenga Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato akisema haupo kwenye Bajeti ya 2021/22.
Dkt. Tulia ameeleza, "Rais amesema Uwanja utajengwa, kwa hiyo kama upo au haupo kwenye Bajeti Rais kashasema, ndio Sheria hiyo".
Sasa akina mama wameshika UTAMU, sorry haramu.... Ngoja tupate Habari yake. Huoni SSH aliyo busy kumobilise support badala ya kuchakalika na kazi.
Katika kipindi cha maswali na majibu, Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, amesema Naibu Waziri hawezi kusema kitu tofauti na alichozungumza Rais.
Amesema hayo baada ya Mbunge Kunti Majala kuhoji ni lini Serikali itajenga Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato akisema haupo kwenye Bajeti ya 2021/22.
Dkt. Tulia ameeleza, "Rais amesema Uwanja utajengwa, kwa hiyo kama upo au haupo kwenye Bajeti Rais kashasema, ndio Sheria hiyo".
kauli ya Rais ni sheriaSiamini kama naibu spika anaweza kusema hayo, hasa kwamba. Rais kashasema, ndio Sheria hiyo!
Mpaka nipate video clip
dah,inasikitishaPili ,kembambaaaaa ila K bwakuuuuuu