Dkt. Tulia anaenda kuliua Bunge kama atachaguliwa kuwa Spika

Matatizo ya hii nchi, yanaletwa na CCM lile sio bunge ni ukumbi wa kugawiana posho wana CCM
 
Tulia bado ajaiva kuwa speaker angalau ZUNGU kidogo anaweza vaa viatu
 
Nilichokiona kuna viongozi wanaangalia kesho yao,lakini hawana uchungu na selikari.Magu kilichomuharibia kuwatesa wapinza,lakini hii awamu tunayoenda nayo aibu,Rais Mwenyewe hana vision kabisa,siku fulani akifa,ndiyo tutaujua ukweli
 
Anajielewa. Mkiweza mchagueni spika wa CHADEMA ambaye anaamini;
  • -kuisimamia serikali ni kuitukana, kuidhalilisha na kuiamrisha!
  • -Ili spika uonekane huko huru basi ongoza kwa kupinga kila kitu cha serikali kama CHADEMA na wengine wanavyofanya
  • -Rais siyo mkuu wa nchi, bali ni kiongozi wa serikali kama ambavyo spika ni kiongozi wa bunge hivyo wako sawa kwa kila kitu. Nchi iwe na mafahali 3 wenye nguvu sawa! Hata elimu ndogo ya utawala hamuijui!
  • -Haiwezekani mihimili kufanya kazi kwa kuheshimiana navkutanguliza maslahi ya umma
 
Kale kadada kanapenda kujipendekeza sana. Eti hawa ndio wategemewe kuongoza nchi hii kweli!!!
 
Tanzania hakuna bunge, hilo mbona ni halmashauri kuu ya ccm. Hatuna bunge wala hatuna mahakama, vyote ni vitengo vya serikali ya ccm na inazitumia katika kufanikisha utawala wake uliopo bila ridhaa ya wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…