Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Dkt. Tulia ameyasema hayo leo tarehe 26 Novemba, 2024 wakati akihitimisha kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mkoa wa Songwe zilizofanyika katika uwanja wa Uwanja wa Mwaka, Tunduma ambapo Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika kesho tarehe 27 Novemba, 2024.
Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Amesemema kuwa, Chama cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama pekee kinachojua changamoto zao na kinao uwezo wa kuzitatua kwakuwa kwa dhamana iliyopewa kupitia Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeweza kuzishughulikia hivyo ni vyema kuendelea kukiamini ili kuzimaliza zote.