LGE2024 Dkt. Tulia awataka wananchi kuchagua viongozi wenye uwezo

LGE2024 Dkt. Tulia awataka wananchi kuchagua viongozi wenye uwezo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
WhatsApp Image 2024-11-26 at 18.12.41_afd38ac5.jpg
Mjumbe wa Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya mjini, Dkt. Tulia Ackson, amewataka Wananchi kuchagua Viongozi wenye uwezo wa kushughulika na changamoto zao kwa urahisi ili kuweza kuwaletea maendeleo ya haraka katika jamii zao.

Dkt. Tulia ameyasema hayo leo tarehe 26 Novemba, 2024 wakati akihitimisha kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mkoa wa Songwe zilizofanyika katika uwanja wa Uwanja wa Mwaka, Tunduma ambapo Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika kesho tarehe 27 Novemba, 2024.

Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024


Amesemema kuwa, Chama cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama pekee kinachojua changamoto zao na kinao uwezo wa kuzitatua kwakuwa kwa dhamana iliyopewa kupitia Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeweza kuzishughulikia hivyo ni vyema kuendelea kukiamini ili kuzimaliza zote.
WhatsApp Image 2024-11-26 at 18.12.43_6e3f01ed.jpg
 

SPIKA DKT. TULIA AWATAKA WANANCHI KUCHAGUA VIONGOZI WENYE UWEZO

Mjumbe wa Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amewataka Wananchi kuchagua Viongozi wenye uwezo wa kushughulika na changamoto zao kwa urahisi ili kuweza kuwaletea maendeleo ya haraka katika jamii zao.

Dkt. Tulia ameyasema hayo leo tarehe 26 Novemba, 2024 wakati akihitimisha kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Mkoa wa Songwe zilizofanyika katika uwanja wa Uwanja wa Mwaka, Tunduma ambapo Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika kesho tarehe 27 Novemba, 2024.

Amesemema kuwa, Chama cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama pekee kinachojua changamoto zao na kinao uwezo wa kuzitatua kwakuwa kwa dhamana iliyopewa kupitia Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeweza kuzishughulikia hivyo ni vyema kuendelea kukiamini ili kuzimaliza zote.
 

Attachments

  • GdUoVMxXwAAMBYC.jpg
    GdUoVMxXwAAMBYC.jpg
    330.5 KB · Views: 2
  • GdUoVMwXYAAO5fY.jpg
    GdUoVMwXYAAO5fY.jpg
    319 KB · Views: 3
  • GdUoVMwXsAAmIJv.jpg
    GdUoVMwXsAAmIJv.jpg
    423.5 KB · Views: 3
  • GdUoVMyXAAAPS2R.jpg
    GdUoVMyXAAAPS2R.jpg
    242.9 KB · Views: 3
Back
Top Bottom