Dkt. Tulia hakupaswa kujiuzulu kwenye mchakato wa kichama bali pale atakapochukua fomu kwa Katibu wa Bunge

Dkt. Tulia hakupaswa kujiuzulu kwenye mchakato wa kichama bali pale atakapochukua fomu kwa Katibu wa Bunge

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Dkt. Akandunduma anasema kimsingi Dr Tulia hakupaswa kujiuzulu nafasi ya Naibu Spika katika mchakato wa mchujo ndani ya chama bali pale atakapochukua fomu ya kugombea nafasi ya Spika kwa Katibu wa bunge la JMT.

Je, yuko sahihi.

Binafsi nimeunga mkono hoja ya Dr Akandunduma.
 
Alitakiwa kujihuzulu waache urafi wa madaraka
 
Dr Akandunduma anasema kimsingi Dr Tulia hakupaswa kujiuzulu nafasi ya Naibu Spika katika mchakato wa mchujo ndani ya chama bali pale atakapochukua fomu ya kugombea nafasi ya Spika kwa Katibu wa bunge la JMT.

Je, yuko sahihi.

Binafsi nimeunga mkono hoja ya Dr Akandunduma.
Kwani watumishi wa umma wanatakiwaga kujiuzulu lini wakiamua kugombea ubunge?
 
Dkt. Akandunduma anasema kimsingi Dr Tulia hakupaswa kujiuzulu nafasi ya Naibu Spika katika mchakato wa mchujo ndani ya chama bali pale atakapochukua fomu ya kugombea nafasi ya Spika kwa Katibu wa bunge la JMT.

Je, yuko sahihi.

Binafsi nimeunga mkono hoja ya Dr Akandunduma.
Bungeni huwa kuna kuchukua form ya kugombea uspika?
 
Wakishapitishwa na vyama vyao baada ya kura za maoni.
Mh...Baadaya kura za maoni kinachofuata ni kupita bila kupingwa baada ya wapinzani woote kuenguliwa na ndugu zetu wa NEC.Ni win win siatuation.
Ata Babu Tale alipita bila kupingwa

Yaani mlala hoi hana haja kujitokeza kupiga kura
 
Back
Top Bottom