upupu255
Senior Member
- Sep 4, 2024
- 119
- 144
Taasisi ya Tulia Trust Chini ya Mkurugenzi wake ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson yapeleka Tabasamu kwa Familia ya Obed Ambonisye Mwalopale.
Nyumba ya Familia ya Obed Ambonisye Mwalopale
Mzee Mwalopale Mwenye Changamoto ya Ulemavu wa Miguu anaishi na Familia yake ya Watoto Wanne Katika Kijiji Cha Matema Kata ya Matema Wilaya ya Kyela Mkoani Mbeya amepatiwa Msaada wa Kujengewa Nyumba na Tulia Trust kutokana Changamoto ya Kukosa Makazi, Ujenzi unaotarajiwa Kuanzia Siku ya Jumatano ya Machi 12, 2025 na Kukamilika baada ya Siku 14.
Soma, Pia: Dkt. Tulia Ackson akabidhi nyumba kwa Mkazi wa Mbeya kupitia Tulia Trust
Nyumba anayoishi na Familia yake kwa Sasa haina Mazingira Mazuri Jambo linaloweza kuhatarisha Maisha yake hasa Wakati wa Mvua, Nje ya Kujengewa Nyumba wamepewa Msaada wa Mavazi na Chakula kwani Mahitaji hayo pia ni Changamoto kuyapata.
Nyumba ya Familia ya Obed Ambonisye Mwalopale
Soma, Pia: Dkt. Tulia Ackson akabidhi nyumba kwa Mkazi wa Mbeya kupitia Tulia Trust
Nyumba anayoishi na Familia yake kwa Sasa haina Mazingira Mazuri Jambo linaloweza kuhatarisha Maisha yake hasa Wakati wa Mvua, Nje ya Kujengewa Nyumba wamepewa Msaada wa Mavazi na Chakula kwani Mahitaji hayo pia ni Changamoto kuyapata.