Dkt. Tulia ni msomi wa kweli wa sheria, namshauri Sugu aendelee na shughuli za kufoka foka

Dkt. Tulia ni msomi wa kweli wa sheria, namshauri Sugu aendelee na shughuli za kufoka foka

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Kwa wale tuliomfuatilia vzr leo bungeni kwenye hoja ya kupitisha azimio la bunge la kukubali makubaliano baina ya Tanzania vs Dubai watakabuliana na mimi kuwa mama huyu ni msomi hasa wa sheria.

Kiukweli ukiwasikiliza akina Tundu Lissu wanaosifiwa kujua sheria ni upuuzi mtupu, daktari huyu ni msikivu na mwelewa sana wa sheria, nimewasikiliza wabunge mmoja mmoja wakati wakichangia, ama hakika Dkt Tulia ni hazina kubwa nchi hii.
 
Amsemea huyuhuyu aliyeingilia michango ya Mdee na Aida wengine akiwaacha wafurumushe matusi?
 
Thread Kam hii kwa watu mliolipwa kueneza propaganda na kusifiasifia kila upuuzi mods walitakiwa wapitishe mkasi na upigwe ban.
 
Back
Top Bottom