Dkt. Tulia: Nyanda za Juu tumechoka kuwa washangiliaji na sisi tunataka treni ya umeme kama 'Wenzetu'

Dkt. Tulia: Nyanda za Juu tumechoka kuwa washangiliaji na sisi tunataka treni ya umeme kama 'Wenzetu'

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
1621321062045.png

Mbunge wa Mbeya Mjini Dr. Tulia amemtaka Waziri wa Ujenzi kuangalia namna ya kuiwezesha TAZARA kuwa na treni ya umeme.
Dr. Tulia amesema Tanzania ni moja na Wananchi wa pande zote wanahitaji maendeleo hivyo Kanda ya Nyanda za Juu Jusini wamechoka kuwa washangiliaji.

Kadhalika Dr Tulia amelalamikia Jiji la Mbeya kutopewa hadhi na Huduma stahiki kama ilivyo katika majiji mengine na badala yake Mbeya imekuwa kama Halmashauri.

Tulia amesema miundombinu ya Mbeya ni mibovu sana na miaka yote wamekuwa wakipewa bajeti ndogo isiyokidhi chochote.

Dr. Tulia alikuwa akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Ujenzi.

Source: Bungeni
 

Mbunge wa Mbeya Mjini Dr. Tulia amemtaka Waziri wa Ujenzi kuangalia namna ya kuiwezesha TAZARA kuwa na treni ya umeme.
Dr. Tulia amesema Tanzania ni moja na Wananchi wa pande zote wanahitaji maendeleo hivyo Kanda ya Nyanda za Juu Jusini wamechoka kuwa washangiliaji.

Kadhalika Dr Tulia amelalamikia Jiji la Mbeya kutopewa hadhi na Huduma stahiki kama ilivyo katika majiji mengine na badala yake Mbeya imekuwa kama Halmashauri.

Tulia amesema miundombinu ya Mbeya ni mibovu sana na miaka yote wamekuwa wakipewa bajeti ndogo isiyokidhi chochote.

Dr. Tulia alikuwa akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Ujenzi.

Source: Bungeni
Mimi ni mwanakanda ya nyanda za juu kusini, lakini naona huyu dogo naye hamnazo, kumbe kuwa na PhD hakumaanishi una akili, diplomasia, uzalendo na uelewa mpana, miongoni mwa maeneo yaliyonemeka huko mapema hapa nchini ni Nyanda za juu kusini, walipata TANZAM na TAZARA, Kanda ya Magharibi na Ziwa walikuwa na reli ya kati tu barabara za vumbi kwa muda mrefu, sasa leo hawa wengine wanapelekewa sgr hata kabla haijaisha na yeye tulia anataka... "aibu sana"
 

Mbunge wa Mbeya Mjini Dr. Tulia amemtaka Waziri wa Ujenzi kuangalia namna ya kuiwezesha TAZARA kuwa na treni ya umeme.
Dr. Tulia amesema Tanzania ni moja na Wananchi wa pande zote wanahitaji maendeleo hivyo Kanda ya Nyanda za Juu Jusini wamechoka kuwa washangiliaji.

Kadhalika Dr Tulia amelalamikia Jiji la Mbeya kutopewa hadhi na Huduma stahiki kama ilivyo katika majiji mengine na badala yake Mbeya imekuwa kama Halmashauri.

Tulia amesema miundombinu ya Mbeya ni mibovu sana na miaka yote wamekuwa wakipewa bajeti ndogo isiyokidhi chochote.

Dr. Tulia alikuwa akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Ujenzi.

Source: Bungeni
TAZARA TU IMEWASHINDA
 
Mimi ni mwanakanda ya nyanda za juu kusini, lakini naona huyu dogo naye hamnazo, kumbe kuwa na PhD hakumaanishi una akili, diplomasia, uzalendo na uelewa mpana, miongoni mwa maeneo yaliyonemeka huko mapema hapa nchini ni Nyanda za juu kusini, walipata TANZAM na TAZARA, Kanda ya Magharibi na Ziwa walikuwa na reli ya kati tu barabara za vumbi kwa muda mrefu, sasa leo hawa wengine wanapelekewa sgr hata kabla haijaisha na yeye tulia anataka... "aibu sana"
PhD ukiwa nayo pia uwe na mwenza wa kukushauri
 
Na sisi huku Namtumbo tunataka treni ya umeme pia.
hahahahaaaa na nyasa pia tunataka.huku kwetu ruvuma naona tunachezewa madini yetu yananufaisha wengine tu.tuna ziwa lkn serikali haiwekezi kwenye hilo ziwa hata maji ya kunywa tunakosa.
 
Bora hata wangeililia watu wa kutoka Tanga, Kilimanjaro na Arusha! Ila siyo Nyanda za Juu Kusini! Maana hao wamejengewa treni ya kisasa kabisa ya TAZARA! Lakini wameshindwa kuishawishi Serikali kuiboresha ili iwe na tija.

Leo hii ukisafiri na treni ya TAZARA, utashuhudia tu magofu ya majengo kwenye stesheni zake, na huduma mbovu! Huku abiria na mizigo ikiwa ni ya kutosha tu.
 

Mbunge wa Mbeya Mjini Dr. Tulia amemtaka Waziri wa Ujenzi kuangalia namna ya kuiwezesha TAZARA kuwa na treni ya umeme.
Dr. Tulia amesema Tanzania ni moja na Wananchi wa pande zote wanahitaji maendeleo hivyo Kanda ya Nyanda za Juu Jusini wamechoka kuwa washangiliaji.

Kadhalika Dr Tulia amelalamikia Jiji la Mbeya kutopewa hadhi na Huduma stahiki kama ilivyo katika majiji mengine na badala yake Mbeya imekuwa kama Halmashauri.

Tulia amesema miundombinu ya Mbeya ni mibovu sana na miaka yote wamekuwa wakipewa bajeti ndogo isiyokidhi chochote.

Dr. Tulia alikuwa akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Ujenzi.

Source: Bungeni
Na unga mkono, na kizuri wanayo reli ya Tazara, ni kuibadili tu ili iwe hiyo ya umeme n.k. tatizo sasa hivi haitumiki kikamilifu ili kuleta tija, waanze na hilo
 
hahahahaaaa na nyasa pia tunataka.huku kwetu ruvuma naona tunachezewa madini yetu yananufaisha wengine tu.tuna ziwa lkn serikali haiwekezi kwenye hilo ziwa hata maji ya kunywa tunakosa.
Mmeshaletewa meli!
 
Back
Top Bottom