Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
Wanajukwaa natumaini mnaendelea vizuri. Kwawale wenye changamoto nawapa pole na kuwaombea kwa Muumba ahueni ipatikane.
Nikienda kwenye mada nikwamba vipo vikundi au taasisi zinazojihusisha na mikopo tena kwakutumia majina ua viongozi wa chama na serikali na wafanya biashara wakubwa.
Miongoni mwazo ni Mo DewjiFoundation ,Tulia Ackson na ile ya Joketi.
Nimeamua kuzungumzia hii ya Tulia kwasababu kuna mtu ametapeliwa hela juzi lakini nikasema ngoja nione wanatapeli vipi.
Wakati ninachati nao wamesema nipige kitambulisho picha niwatumie pamoja na namba ya kupokelea hela zitakazo ingizwa.
Katika kuongea nao nikawaambia wanielekeze ofisi zao zilipo wakasema zipo Chamwino. Nikawaambia naweza kuwapelekea hela za awali za mkopo ili wanipatie kiwango ninachoomba? Wakajibu hapana wanafanya huduma online. Je hata kama nipo hapa jirani? Wanasema hapana wao ni online tu.
Baada ya hapo wanafanya videocall eti wanione. Unaweza ukajiuliza mtu anaesema usiende ofisini utumetu taarifa online lakini anataka kukuona videocall je nimzima huyo?
Kilichonishangaza zaidi juu ya matapeli hao nikufita sms zote walizonitumia. Je kwanini wamefuta?
Tulia Ackson hawa wanaotumia jina lako nimatapeli kama matapeli wenginetu. Usipo wakemea na kuomba jeshi la polisi likusaidie kuwasaka basi umewatuma na itakua unafaidika na huo utapeli.
Jipambanue wakatae hadharani hao matapeli au kama taasisi kweli niyako basi weka watu waadilifu hao waliopo nimatapeli wakubwa
Nikienda kwenye mada nikwamba vipo vikundi au taasisi zinazojihusisha na mikopo tena kwakutumia majina ua viongozi wa chama na serikali na wafanya biashara wakubwa.
Miongoni mwazo ni Mo DewjiFoundation ,Tulia Ackson na ile ya Joketi.
Nimeamua kuzungumzia hii ya Tulia kwasababu kuna mtu ametapeliwa hela juzi lakini nikasema ngoja nione wanatapeli vipi.
Wakati ninachati nao wamesema nipige kitambulisho picha niwatumie pamoja na namba ya kupokelea hela zitakazo ingizwa.
Katika kuongea nao nikawaambia wanielekeze ofisi zao zilipo wakasema zipo Chamwino. Nikawaambia naweza kuwapelekea hela za awali za mkopo ili wanipatie kiwango ninachoomba? Wakajibu hapana wanafanya huduma online. Je hata kama nipo hapa jirani? Wanasema hapana wao ni online tu.
Baada ya hapo wanafanya videocall eti wanione. Unaweza ukajiuliza mtu anaesema usiende ofisini utumetu taarifa online lakini anataka kukuona videocall je nimzima huyo?
Kilichonishangaza zaidi juu ya matapeli hao nikufita sms zote walizonitumia. Je kwanini wamefuta?
Tulia Ackson hawa wanaotumia jina lako nimatapeli kama matapeli wenginetu. Usipo wakemea na kuomba jeshi la polisi likusaidie kuwasaka basi umewatuma na itakua unafaidika na huo utapeli.
Jipambanue wakatae hadharani hao matapeli au kama taasisi kweli niyako basi weka watu waadilifu hao waliopo nimatapeli wakubwa