Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia: Tarehe 14/07/2020 nitatangaza jimbo nitakalogombea Ubunge, wananchi tulieni!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson amesema tarehe 24 Julai atatangaza jimbo atakalogombea Ubunge kwani kwa sasa kipyenga ndani ya chama bado hakijapulizwa.

Dkt. Tulia Ackson amekuwa akihusishwa na majimbo ya Mbeya Mjini na Kawe ambayo Wananchi wameonesha kutaka mabadiliko ya wabunge.

Chanzo: Clouds media!
 
Namshangaa huyo shauri wa Tulia aisee maana hakuna anachomshauri cha maana bora hata angetuliwa awe tuu wa viti maalum.
anadhani usomi wake ndio kigezo hakubaliki hata kwa kalumanzila
 
huyo sura ngumu asipoteze muda kugombea mbeya mjini
 
Yani ajenge nyumba Mbeya halafu akagombee kwingine bwashee.
 
Alishatangaza muda mrefu kwa vitendo vyake
 
Asubiri ubunge wa vitu maalum tu hawezi shinda jimbo lolote huyo cheusi mangala
 
Badamu batachuruzika Mbeya, unajua huyu dada kawakamata sana wamama wa Mbeya, kiukweli safari hii Boss Sugu asitumie pesa ya kiinua mgongo kufanyia kampeni, ATAJUTA
 
Alisha tangaza muda mrefu kwa vitendo vyake
Sio kutangaza tu, alishaanza kampeni mapema tu. Sema ndio hivyo tu, sisiemu, tume ya maadili (madili?) na tume ya uchaguzi waliamua kufumbia macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…