Dkt. Tulia tayari kashampa "Chakula" Sugu

Dkt. Tulia tayari kashampa "Chakula" Sugu

Michael Uledi

Senior Member
Joined
Mar 29, 2023
Posts
132
Reaction score
323
Hakuna Hisani kubwa ambayo aliyekuwa Mbunge wa Mbeya kwa tiketi ya Chadema Osmond Mbilinyi amewahi kuipata kutoka kwa Mbunge wake na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr Tulia ACKSON MWANSASU!

Habari nyepesi kutoka "kitaa" Mbeya zinasema kama Mr II angekuwa na busara na hekima alipaswa ampe Dr Tulia ACKSON "Maua Yake" kwa ombi la kugawanya jimbo la Mbeya!

Mr II Sugu anajua kabisa suala la kuligawa Jimbo la Mbeya mjini kutokana na ukubwa lilianzia kwake baada ya kushindwa kutoa huduma kwa WANANCHI wake wakati huo Sugu akiwa Mbunge!

Jiji la Mbeya/Jimbo la Mbaya mjini lina Kata 36+ tofauti na hali halisi kwamba angalau jiji liwe na Kata 18.Mh Spika kwa lugha rahisi anaongoza majimbo mawili ndani ya Bajeti ya maendeleo moja!

Ajenda hiyo ya kugawa jimbo imewahi kupigiwa upatu na Sugu mwenyewe baada ya kushindwa kabisa kuwafikia watu wote ndani ya Jimbo la Mbeya!Ongezeko la watu ndani ya Jiji la Mbeya imekuwa pia changamoto kwa mh Spika kuweza kuwafikia watu wengi/wote.

Ni kichaa tu ndiye anaweza kudhani Mh Spika anataka kumkimbia Sugu!Mh Spika leo akiamua arudi pale kukaja(Busokelo)anakomba kura zote na kuwa Spika tena!Mh Spika akiamua kwenda Jimbo lolote Nchi hii anapewa "maua yake" na kuwa Spika tena!Iwe Dodoma,iwe Singida,iwe Songwe,iwe Kyela.

Hivi mtu wa kariba hii anamwogopaje Rapper MR II?

Mpaka dakika hizi kwa sisi tuliopo vijiwe vya Mbeya,Sugu ana uhakika wa kurudi "Mgengoni" kwa hisani hii ya Spika Tulia!Chadema na Sugu wanapaswa wampe "Maua yake" Mh Spika!

Ni kichaa tu anayedhani Chadema inaweza kuishinda CCM kwa sasa!Chadema ipi?hii ya Mzee Freeman Mbowe na Sugu?

"Manunu amaphuliiii".
 
la Mbeya/Jimbo la Mbaya mjini lina Kata 36+ tofauti na hali halisi kwamba angalau jiji liwe na Kata 18.Mh Spika kwa lugha rahisi anaongoza majimbo mawili ndani ya Bajeti ya maendeleo moja
Kwamba Jimbo la Mbeya mjini ni kubwa sana?!!

1683272533471.png
 
Neno " ni KICHAA tu" limejirudia mara mbili.

Naamini unahusika moja Kwa moja na Neno hili.
 
CCM mnatumia Nguvu kubwa kuiba kura na upuuzi wa kijinga binafsi sioni jambo la maana Ccm imefanya tangu Uhuru mpaka leo zaidi ya ubabaishaji.

Nchi imejaa umasikini kila Kona Bora tuchague Andazi
 
Jimbo la Mbeya mjini lina ukubwa gani jamani?

Wanasiasa wanakimbia tu majukumu yao baada ya kuona wanashindwa kuletea watu maendeleo...
Jimbo la Mbeya linazidiwa hadi na Chato kwa wingi wa watu....🤣
 
Jimbo la Mbeya linazidiwa hadi na Chato kwa wingi wa watu....🤣

Mbeya mjini ni padogo sana pale kiasi cha kusumbua akili ya mbunge yeyote...

Changamoto kubwa iliyopo Mbeya mjini ni uhaba wa miundombinu mizuri na hiduma za kijamii hasa za afya...
 
Tulia hana uwezo wa kushinda Sugu, Tulia anaipenda siasa ila siasa haimpendi, amefika pale just kwa kubebwa tu, rushwa n.k ila kakika uwanja wa siasa hana kitu pale mwepesi mno
 
Hakuna Hisani kubwa ambayo aliyekuwa Mbunge wa Mbeya kwa tiketi ya Chadema Osmond Mbilinyi amewahi kuipata kutoka kwa Mbunge wake na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr Tulia ACKSON MWANSASU!

Habari nyepesi kutoka "kitaa" Mbeya zinasema kama Mr II angekuwa na busara na hekima alipaswa ampe Dr Tulia ACKSON "Maua Yake" kwa ombi la kugawanya jimbo la Mbeya!

Mr II Sugu anajua kabisa suala la kuligawa Jimbo la Mbeya mjini kutokana na ukubwa lilianzia kwake baada ya kushindwa kutoa huduma kwa WANANCHI wake wakati huo Sugu akiwa Mbunge!

Jiji la Mbeya/Jimbo la Mbaya mjini lina Kata 36+ tofauti na hali halisi kwamba angalau jiji liwe na Kata 18.Mh Spika kwa lugha rahisi anaongoza majimbo mawili ndani ya Bajeti ya maendeleo moja!

Ajenda hiyo ya kugawa jimbo imewahi kupigiwa upatu na Sugu mwenyewe baada ya kushindwa kabisa kuwafikia watu wote ndani ya Jimbo la Mbeya!Ongezeko la watu ndani ya Jiji la Mbeya imekuwa pia changamoto kwa mh Spika kuweza kuwafikia watu wengi/wote.

Ni kichaa tu ndiye anaweza kudhani Mh Spika anataka kumkimbia Sugu!Mh Spika leo akiamua arudi pale kukaja(Busokelo)anakomba kura zote na kuwa Spika tena!Mh Spika akiamua kwenda Jimbo lolote Nchi hii anapewa "maua yake" na kuwa Spika tena!Iwe Dodoma,iwe Singida,iwe Songwe,iwe Kyela.

Hivi mtu wa kariba hii anamwogopaje Rapper MR II?

Mpaka dakika hizi kwa sisi tuliopo vijiwe vya Mbeya,Sugu ana uhakika wa kurudi "Mgengoni" kwa hisani hii ya Spika Tulia!Chadema na Sugu wanapaswa wampe "Maua yake" Mh Spika!

Ni kichaa tu anayedhani Chadema inaweza kuishinda CCM kwa sasa!Chadema ipi?hii ya Mzee Freeman Mbowe na Sugu?

"Manunu amaphuliiii".
Huu uliuandika ni UPUMBAVU TU. Hakuna yeyote kati ya Tulia Ackson na Joseph Mbilinyi mwenye UHAKIKA wa kuwa Mbunge wa Mbeya Mjini.

Kila mwananchi wa Tanzania mwenye SIFA zinazokubalika ana HAKI ya kugombea ubunge wa JIMBO lolote hapa Tanzania.

Huu MJADALA unaoendeshwa na Mbunge aliyepo madarakani ambaye ni SPIKA wa Bunge la JMT, inaonyesha ni kiasi gani huyu mwalimu wa zamani wa Sheria wa Chuo Kikuu cha UDSM na Deputy Ag kisomo chake hakina faida kwa nchi hii.

Ni nani aliyemhakikishia kuwa mwaka 2025 Wajumbe wa Mkutano wa Jimbo la Mbeya Mjini watampitisha yeye kuwa mgombea ubunge kwa TIKETI ya CCM?

Kwani hiyo Mbeya haina wana CCM wengine wenye UWEZO wa kusimama na kushinda Ubunge? Kama Mwanasheria mbobevu hapa anaonekana ni mbumbumbu wa sheria japo ana PhD.

Hebu tuondoke kwenye ndoto mbovu za utawala wa yule Kichaa Magufuli ambaye alikuwa anagawa majimbo kwa kutumia NEC na TISS kwa wapambe wake kama Kabudi (Kilosa), Waitara (Tarime), Tulia (Mbeya), Silinde (Tunduma) au Mwana FA (Muheza) au Gwajima (Kawe)
 
Hakuna Hisani kubwa ambayo aliyekuwa Mbunge wa Mbeya kwa tiketi ya Chadema Osmond Mbilinyi amewahi kuipata kutoka kwa Mbunge wake na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr Tulia ACKSON MWANSASU!

Habari nyepesi kutoka "kitaa" Mbeya zinasema kama Mr II angekuwa na busara na hekima alipaswa ampe Dr Tulia ACKSON "Maua Yake" kwa ombi la kugawanya jimbo la Mbeya!

Mr II Sugu anajua kabisa suala la kuligawa Jimbo la Mbeya mjini kutokana na ukubwa lilianzia kwake baada ya kushindwa kutoa huduma kwa WANANCHI wake wakati huo Sugu akiwa Mbunge!

Jiji la Mbeya/Jimbo la Mbaya mjini lina Kata 36+ tofauti na hali halisi kwamba angalau jiji liwe na Kata 18.Mh Spika kwa lugha rahisi anaongoza majimbo mawili ndani ya Bajeti ya maendeleo moja!

Ajenda hiyo ya kugawa jimbo imewahi kupigiwa upatu na Sugu mwenyewe baada ya kushindwa kabisa kuwafikia watu wote ndani ya Jimbo la Mbeya!Ongezeko la watu ndani ya Jiji la Mbeya imekuwa pia changamoto kwa mh Spika kuweza kuwafikia watu wengi/wote.

Ni kichaa tu ndiye anaweza kudhani Mh Spika anataka kumkimbia Sugu!Mh Spika leo akiamua arudi pale kukaja(Busokelo)anakomba kura zote na kuwa Spika tena!Mh Spika akiamua kwenda Jimbo lolote Nchi hii anapewa "maua yake" na kuwa Spika tena!Iwe Dodoma,iwe Singida,iwe Songwe,iwe Kyela.

Hivi mtu wa kariba hii anamwogopaje Rapper MR II?

Mpaka dakika hizi kwa sisi tuliopo vijiwe vya Mbeya,Sugu ana uhakika wa kurudi "Mgengoni" kwa hisani hii ya Spika Tulia!Chadema na Sugu wanapaswa wampe "Maua yake" Mh Spika!

Ni kichaa tu anayedhani Chadema inaweza kuishinda CCM kwa sasa!Chadema ipi?hii ya Mzee Freeman Mbowe na Sugu?

"Manunu amaphuliiii".
Sugu is a dead man, mzee wa kidole cha kati.
 
Hakuna Hisani kubwa ambayo aliyekuwa Mbunge wa Mbeya kwa tiketi ya Chadema Osmond Mbilinyi amewahi kuipata kutoka kwa Mbunge wake na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr Tulia ACKSON MWANSASU!

Habari nyepesi kutoka "kitaa" Mbeya zinasema kama Mr II angekuwa na busara na hekima alipaswa ampe Dr Tulia ACKSON "Maua Yake" kwa ombi la kugawanya jimbo la Mbeya!

Mr II Sugu anajua kabisa suala la kuligawa Jimbo la Mbeya mjini kutokana na ukubwa lilianzia kwake baada ya kushindwa kutoa huduma kwa WANANCHI wake wakati huo Sugu akiwa Mbunge!

Jiji la Mbeya/Jimbo la Mbaya mjini lina Kata 36+ tofauti na hali halisi kwamba angalau jiji liwe na Kata 18.Mh Spika kwa lugha rahisi anaongoza majimbo mawili ndani ya Bajeti ya maendeleo moja!

Ajenda hiyo ya kugawa jimbo imewahi kupigiwa upatu na Sugu mwenyewe baada ya kushindwa kabisa kuwafikia watu wote ndani ya Jimbo la Mbeya!Ongezeko la watu ndani ya Jiji la Mbeya imekuwa pia changamoto kwa mh Spika kuweza kuwafikia watu wengi/wote.

Ni kichaa tu ndiye anaweza kudhani Mh Spika anataka kumkimbia Sugu!Mh Spika leo akiamua arudi pale kukaja(Busokelo)anakomba kura zote na kuwa Spika tena!Mh Spika akiamua kwenda Jimbo lolote Nchi hii anapewa "maua yake" na kuwa Spika tena!Iwe Dodoma,iwe Singida,iwe Songwe,iwe Kyela.

Hivi mtu wa kariba hii anamwogopaje Rapper MR II?

Mpaka dakika hizi kwa sisi tuliopo vijiwe vya Mbeya,Sugu ana uhakika wa kurudi "Mgengoni" kwa hisani hii ya Spika Tulia!Chadema na Sugu wanapaswa wampe "Maua yake" Mh Spika!

Ni kichaa tu anayedhani Chadema inaweza kuishinda CCM kwa sasa!Chadema ipi?hii ya Mzee Freeman Mbowe na Sugu?

"Manunu amaphuliiii".
Fara mmoja wewe...mwambie betina kuwa sugu atakufuata kokote utakapogombea...hata akimbilie ikwiriri tutamfuata huko huko
 
Hakuna Hisani kubwa ambayo aliyekuwa Mbunge wa Mbeya kwa tiketi ya Chadema Osmond Mbilinyi amewahi kuipata kutoka kwa Mbunge wake na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr Tulia ACKSON MWANSASU!

Habari nyepesi kutoka "kitaa" Mbeya zinasema kama Mr II angekuwa na busara na hekima alipaswa ampe Dr Tulia ACKSON "Maua Yake" kwa ombi la kugawanya jimbo la Mbeya!

Mr II Sugu anajua kabisa suala la kuligawa Jimbo la Mbeya mjini kutokana na ukubwa lilianzia kwake baada ya kushindwa kutoa huduma kwa WANANCHI wake wakati huo Sugu akiwa Mbunge!

Jiji la Mbeya/Jimbo la Mbaya mjini lina Kata 36+ tofauti na hali halisi kwamba angalau jiji liwe na Kata 18.Mh Spika kwa lugha rahisi anaongoza majimbo mawili ndani ya Bajeti ya maendeleo moja!

Ajenda hiyo ya kugawa jimbo imewahi kupigiwa upatu na Sugu mwenyewe baada ya kushindwa kabisa kuwafikia watu wote ndani ya Jimbo la Mbeya!Ongezeko la watu ndani ya Jiji la Mbeya imekuwa pia changamoto kwa mh Spika kuweza kuwafikia watu wengi/wote.

Ni kichaa tu ndiye anaweza kudhani Mh Spika anataka kumkimbia Sugu!Mh Spika leo akiamua arudi pale kukaja(Busokelo)anakomba kura zote na kuwa Spika tena!Mh Spika akiamua kwenda Jimbo lolote Nchi hii anapewa "maua yake" na kuwa Spika tena!Iwe Dodoma,iwe Singida,iwe Songwe,iwe Kyela.

Hivi mtu wa kariba hii anamwogopaje Rapper MR II?

Mpaka dakika hizi kwa sisi tuliopo vijiwe vya Mbeya,Sugu ana uhakika wa kurudi "Mgengoni" kwa hisani hii ya Spika Tulia!Chadema na Sugu wanapaswa wampe "Maua yake" Mh Spika!

Ni kichaa tu anayedhani Chadema inaweza kuishinda CCM kwa sasa!Chadema ipi?hii ya Mzee Freeman Mbowe na Sugu?

"Manunu amaphuliiii".
Mbona Sasa vifaru vilihamia mbeya 2015 na ikalazishwa atangazwe hivyohivyo bila kushinda kama ilivyo kuwa manimbo kama kawe, hai, kwa John heche, ubungo nk
 
Kwa wizi wa kura tu ndo CCM inaweza kushindà Mbeya mjini.
 
CCM tunaitazama ACT sio MaCHADEMA yaliyooza majizi ya ruzuku.
 
Hakuna Hisani kubwa ambayo aliyekuwa Mbunge wa Mbeya kwa tiketi ya Chadema Osmond Mbilinyi amewahi kuipata kutoka kwa Mbunge wake na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr Tulia ACKSON MWANSASU!

Habari nyepesi kutoka "kitaa" Mbeya zinasema kama Mr II angekuwa na busara na hekima alipaswa ampe Dr Tulia ACKSON "Maua Yake" kwa ombi la kugawanya jimbo la Mbeya!

Mr II Sugu anajua kabisa suala la kuligawa Jimbo la Mbeya mjini kutokana na ukubwa lilianzia kwake baada ya kushindwa kutoa huduma kwa WANANCHI wake wakati huo Sugu akiwa Mbunge!

Jiji la Mbeya/Jimbo la Mbaya mjini lina Kata 36+ tofauti na hali halisi kwamba angalau jiji liwe na Kata 18.Mh Spika kwa lugha rahisi anaongoza majimbo mawili ndani ya Bajeti ya maendeleo moja!

Ajenda hiyo ya kugawa jimbo imewahi kupigiwa upatu na Sugu mwenyewe baada ya kushindwa kabisa kuwafikia watu wote ndani ya Jimbo la Mbeya!Ongezeko la watu ndani ya Jiji la Mbeya imekuwa pia changamoto kwa mh Spika kuweza kuwafikia watu wengi/wote.

Ni kichaa tu ndiye anaweza kudhani Mh Spika anataka kumkimbia Sugu!Mh Spika leo akiamua arudi pale kukaja(Busokelo)anakomba kura zote na kuwa Spika tena!Mh Spika akiamua kwenda Jimbo lolote Nchi hii anapewa "maua yake" na kuwa Spika tena!Iwe Dodoma,iwe Singida,iwe Songwe,iwe Kyela.

Hivi mtu wa kariba hii anamwogopaje Rapper MR II?

Mpaka dakika hizi kwa sisi tuliopo vijiwe vya Mbeya,Sugu ana uhakika wa kurudi "Mgengoni" kwa hisani hii ya Spika Tulia!Chadema na Sugu wanapaswa wampe "Maua yake" Mh Spika!

Ni kichaa tu anayedhani Chadema inaweza kuishinda CCM kwa sasa!Chadema ipi?hii ya Mzee Freeman Mbowe na Sugu?

"Manunu amaphuliiii".
kumpa maua yake ina maana gani au kama ndio msamiati mpya umeingia hebu sema maana yake maana wengine ndio tunausikia Mara ya kwanza
 
Hakuna Hisani kubwa ambayo aliyekuwa Mbunge wa Mbeya kwa tiketi ya Chadema Osmond Mbilinyi amewahi kuipata kutoka kwa Mbunge wake na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr Tulia ACKSON MWANSASU!

Habari nyepesi kutoka "kitaa" Mbeya zinasema kama Mr II angekuwa na busara na hekima alipaswa ampe Dr Tulia ACKSON "Maua Yake" kwa ombi la kugawanya jimbo la Mbeya!

Mr II Sugu anajua kabisa suala la kuligawa Jimbo la Mbeya mjini kutokana na ukubwa lilianzia kwake baada ya kushindwa kutoa huduma kwa WANANCHI wake wakati huo Sugu akiwa Mbunge!

Jiji la Mbeya/Jimbo la Mbaya mjini lina Kata 36+ tofauti na hali halisi kwamba angalau jiji liwe na Kata 18.Mh Spika kwa lugha rahisi anaongoza majimbo mawili ndani ya Bajeti ya maendeleo moja!

Ajenda hiyo ya kugawa jimbo imewahi kupigiwa upatu na Sugu mwenyewe baada ya kushindwa kabisa kuwafikia watu wote ndani ya Jimbo la Mbeya!Ongezeko la watu ndani ya Jiji la Mbeya imekuwa pia changamoto kwa mh Spika kuweza kuwafikia watu wengi/wote.

Ni kichaa tu ndiye anaweza kudhani Mh Spika anataka kumkimbia Sugu!Mh Spika leo akiamua arudi pale kukaja(Busokelo)anakomba kura zote na kuwa Spika tena!Mh Spika akiamua kwenda Jimbo lolote Nchi hii anapewa "maua yake" na kuwa Spika tena!Iwe Dodoma,iwe Singida,iwe Songwe,iwe Kyela.

Hivi mtu wa kariba hii anamwogopaje Rapper MR II?

Mpaka dakika hizi kwa sisi tuliopo vijiwe vya Mbeya,Sugu ana uhakika wa kurudi "Mgengoni" kwa hisani hii ya Spika Tulia!Chadema na Sugu wanapaswa wampe "Maua yake" Mh Spika!

Ni kichaa tu anayedhani Chadema inaweza kuishinda CCM kwa sasa!Chadema ipi?hii ya Mzee Freeman Mbowe na Sugu?

"Manunu amaphuliiii".

Ni kweli, Tulia kwa mbeleko ya vyombo vya dola anaweza hata kwa rais acha ubunge, lakini kwa ushawishi wa kisiasa hata balozi wa nyumba kumi hapati.
 
Back
Top Bottom