britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Kwamba habari za kuungua kwa moto ni sawa na zaudaku[emoji23][emoji23]DM tower business Centre Moscow inaungua Muda huu, ni kituo mashuhuri Kwa biashara ni Kama ilivyo kuwa WTC ya Marekani Au ZILE za Abudhabi na Dubai,
Majengo pasha mengine manne yote yameteketea Kwa moto ambao chanzo chake ni hujuma kutoka ndani ya MOSCOW kutokana na vita inayoendelea sasa
Warusi wamechoka
andunje awe makin ,kuna walakini sehemuDM tower business Centre Moscow inaungua Muda huu, ni kituo mashuhuri Kwa biashara ni Kama ilivyo kuwa WTC ya Marekani Au ZILE za Abudhabi na Dubai,
Majengo pasha mengine manne yote yameteketea Kwa moto ambao chanzo chake ni hujuma kutoka ndani ya MOSCOW kutokana na vita inayoendelea sasa
Warusi wamechoka
video haina umuhimu siku hz ?Uzii bila picha ,ni umbea na unaa.aise nimekuona kiazi kuanzia leo.legendary kwenye jf ,nakushangaa,habari imeandikwa Kama darasa la 7 .
Safi kabisa vita hii lazima iwe fundisho kwa madikteita uchwara wote wakiongozwa na PutinDM tower business Centre Moscow inaungua Muda huu, ni kituo mashuhuri Kwa biashara ni Kama ilivyo kuwa WTC ya Marekani Au ZILE za Abudhabi na Dubai,
Majengo pasha mengine manne yote yameteketea Kwa moto ambao chanzo chake ni hujuma kutoka ndani ya MOSCOW kutokana na vita inayoendelea sasa
Warusi wamechoka
Wee jamaa ni pimbi aiseee iyoo video uliyotuma ndyo kuwa majengo yameungua yote kuna jamaa uku alisema inaweza kuwa Una msongo WA mawazo saivi naanza kukubaliana na alichosemaDM tower business Centre Moscow inaungua Muda huu, ni kituo mashuhuri Kwa biashara ni Kama ilivyo kuwa WTC ya Marekani Au ZILE za Abudhabi na Dubai,
Majengo pasha mengine manne yote yameteketea Kwa moto ambao chanzo chake ni hujuma kutoka ndani ya MOSCOW kutokana na vita inayoendelea sasa
Warusi wamechoka
Sikuwahi kufikiria siku moja wamarekani watafurahia matendo ya kigaidi.Kwamba habari za kuungua kwa moto ni sawa na zaudaku[emoji23][emoji23]
Tuletee zile habari za vita nchini Ukraine aloooo[emoji16]
That fashist hana faida yoyote duniani kwa sasa.hujuma kutoka ndani ya utawala wa Putin itakwenda kifanya Urus kuwa kichekesho nazani soon Putin atalazimika kumuachia kiti mtu mwingine
Ila umefurahia sana Putin kudondosha mamia ya majengo na uharibifu mkubwa wa miundombinu Ukraine bila kusahau maelfu ya vifo vya wananchi wasio na hatia! Dah hizi double standards hizi!Sikuwahi kufikiria siku moja wamarekani watafurahia matendo ya kigaidi.
Marekani ambae alijinadi kama mpambana na Ugaidi Dunia nzima,Leo kawa mfadhiri ama muunga mkono Ugaidi.
Unajua Ugaidi huo njia za wanyonge kujitetea.
Kwa hiyo NATO wanafurahia zaidi njia hii.
Ama kweli Urusi sio mchezo.
Haya matendo ya kuunguza au kulipua majengo ni matendo ya kigaidi,yanaungwa mkono na kufurahiwa na Pro USA.
Maana yake Nini.
Maana yake wameshindwa kuidhibiti Urusi kijeshi Sasa wanaishambulia kigaidi.
Tulitegemea USA mpinga Ugaidi Duniani angelaani tukio la Ugaidi lakini kapiga kimya na washabiki wake wanafurahia,kama huyo Britannica.
Hizi ni dalili za uoga.
Kwamba habari za kuungua kwa moto ni sawa na zaudaku[emoji23][emoji23]
Tuletee zile habari za vita nchini Ukraine aloooo[emoji16]
Aiseee, sasa ww si ndo unaonekana kiazi na mmbea? Mbona kaweka video?Uzii bila picha ,ni umbea na unaa.aise nimekuona kiazi kuanzia leo.legendary kwenye jf ,nakushangaa,habari imeandikwa Kama darasa la 7 .
Uwe una hakiki habari kwanza kabla ya kupayuka!Safi kabisa vita hii lazima iwe fundisho kwa madikteita uchwara wote wakiongozwa na Putin