DM tower business Centre Moscow inaungua Majengo 4 yateketea yote

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
DM tower business Centre Moscow inaungua Muda huu, ni kituo mashuhuri Kwa biashara ni Kama ilivyo kuwa WTC ya Marekani Au ZILE za Abudhabi na Dubai,

Majengo pasha mengine manne yote yameteketea Kwa moto ambao chanzo chake ni hujuma kutoka ndani ya MOSCOW kutokana na vita inayoendelea sasa

Warusi wamechoka
 

Attachments

  • IMG_2883.MP4
    1.4 MB
Kwamba habari za kuungua kwa moto ni sawa na zaudaku[emoji23][emoji23]

Tuletee zile habari za vita nchini Ukraine aloooo[emoji16]
 
andunje awe makin ,kuna walakini sehemu
 
Safi kabisa vita hii lazima iwe fundisho kwa madikteita uchwara wote wakiongozwa na Putin
 
Wee jamaa ni pimbi aiseee iyoo video uliyotuma ndyo kuwa majengo yameungua yote kuna jamaa uku alisema inaweza kuwa Una msongo WA mawazo saivi naanza kukubaliana na alichosema

Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
 
Kwamba habari za kuungua kwa moto ni sawa na zaudaku[emoji23][emoji23]

Tuletee zile habari za vita nchini Ukraine aloooo[emoji16]
Sikuwahi kufikiria siku moja wamarekani watafurahia matendo ya kigaidi.
Marekani ambae alijinadi kama mpambana na Ugaidi Dunia nzima,Leo kawa mfadhiri ama muunga mkono Ugaidi.
Unajua Ugaidi huo njia za wanyonge kujitetea.
Kwa hiyo NATO wanafurahia zaidi njia hii.
Ama kweli Urusi sio mchezo.
Haya matendo ya kuunguza au kulipua majengo ni matendo ya kigaidi,yanaungwa mkono na kufurahiwa na Pro USA.
Maana yake Nini.
Maana yake wameshindwa kuidhibiti Urusi kijeshi Sasa wanaishambulia kigaidi.
Tulitegemea USA mpinga Ugaidi Duniani angelaani tukio la Ugaidi lakini kapiga kimya na washabiki wake wanafurahia,kama huyo Britannica.
Hizi ni dalili za uoga.
 
Ila umefurahia sana Putin kudondosha mamia ya majengo na uharibifu mkubwa wa miundombinu Ukraine bila kusahau maelfu ya vifo vya wananchi wasio na hatia! Dah hizi double standards hizi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…