DMDP: BILIONI 660Tsh zimetolewa na Serikali kuboresha Jiji la Dar es salaam

DMDP: BILIONI 660Tsh zimetolewa na Serikali kuboresha Jiji la Dar es salaam

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,887
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo anazungumzia Mradi wa maendeleo ya uboreshaji Jiji la Dar es salaam Mradi unaogharimu takribani Tsh Bilion 660.

 
Dont always believe cheap politics... Huo ni msaada wa siku nyingi
 
Dont always believe cheap politics... Huo ni msaada wa siku nyingi
Hujui chochote wewe. Na huo siyo msaada. Kwanini mnapenda kujishushia heshima? Kama huelewi kitu piga kimya siyo kujifanya mjuaji mjuaji tu kumbe kichwani hewa.
Hujui hata meya yupo chini ya nini? Meya hana uwezo wa kusaini mkataba wowote. Meya ni mwakilishi wa wananchi na siyo mtumishi wa serikali. Meya hana mshahara, meya hupata posho.
Vijana hebu acheni ushamba bana, mnaaibisha taifa letu.

Mradi huu ninaujua mwanzo mwisho fuatilia comment zangu utaona ninauelezea.
Na mradi huo umeanza mwaka 2015 - 2020.
Nenda makumbusho utaona

Check hizi picha za kingo za bahari Makamu Raisi Alienda kutembelea juzi.

DF0DO74XkAAOr86.jpg


DF0DO7vXkAgO_5N.jpg


DTwcbzvXcAAP4mp.jpg


Angalia vilevile mitaro ya maji inaendela kujengwa.

DT6Bfz6W0AATU_X.jpg


Zungukia Dar es salaam kijana acha kupiga porojo za siasa za kishamba.
Mnakera sana, ukite unakaa kwa dada tako.






upload_2018-1-25_19-3-16.png



Projects : Dar es Salaam Metropolitan Development Project | The World Bank
 
Hujui chochote wewe. Na huo siyo msaada. Kwanini mnapenda kujishushia heshima? Kama huelewi kitu piga kimya siyo kujifanya mjuaji mjuaji tu kumbe kichwani hewa.
Hujui hata meya yupo chini ya nini? Meya hana uwezo wa kusaini mkataba wowote. Meya ni mwakilishi wa wananchi na siyo mtumishi wa serikali. Meya hana mshahara, meya hupata posho.
Vijana hebu acheni ushamba bana, mnaaibisha taifa letu.

Mradi huu ninaujua mwanzo mwisho fuatilia comment zangu utaona ninauelezea.
Na mradi huo umeanza mwaka 2015 - 2020.
Nenda makumbusho utaona

Check hizi picha za kingo za bahari Makamu Raisi Alienda kutembelea juzi.

DF0DO74XkAAOr86.jpg


DF0DO7vXkAgO_5N.jpg


DTwcbzvXcAAP4mp.jpg


Angalia vilevile mitaro ya maji inaendela kujengwa.

DT6Bfz6W0AATU_X.jpg


Zungukia Dar es salaam kijana acha kupiga porojo za siasa za kishamba.
Mnakera sana, ukite unakaa kwa dada tako.






View attachment 684132


Projects : Dar es Salaam Metropolitan Development Project | The World Bank
Commencement: March 2015 halafu unatoa povu tu hapa
 
Hujui chochote wewe. Na huo siyo msaada. Kwanini mnapenda kujishushia heshima? Kama huelewi kitu piga kimya siyo kujifanya mjuaji mjuaji tu kumbe kichwani hewa.
Hujui hata meya yupo chini ya nini? Meya hana uwezo wa kusaini mkataba wowote. Meya ni mwakilishi wa wananchi na siyo mtumishi wa serikali. Meya hana mshahara, meya hupata posho.
Vijana hebu acheni ushamba bana, mnaaibisha taifa letu.

Mradi huu ninaujua mwanzo mwisho fuatilia comment zangu utaona ninauelezea.
Na mradi huo umeanza mwaka 2015 - 2020.
Nenda makumbusho utaona

Check hizi picha za kingo za bahari Makamu Raisi Alienda kutembelea juzi.

DF0DO74XkAAOr86.jpg


DF0DO7vXkAgO_5N.jpg


DTwcbzvXcAAP4mp.jpg


Angalia vilevile mitaro ya maji inaendela kujengwa.

DT6Bfz6W0AATU_X.jpg


Zungukia Dar es salaam kijana acha kupiga porojo za siasa za kishamba.
Mnakera sana, ukite unakaa kwa dada tako.






View attachment 684132


Projects : Dar es Salaam Metropolitan Development Project | The World Bank
Nini tena..!!!!mbona povu hivyo...???

Si umueleweshe polepole...!!!!
 
Commencement: March 2015 halafu unatoa povu tu hapa
Nani analeta povu? Hapa ninawaelewesha nyie msiojua.
Mradi umeanza utekelezaji wake na tunaona mabadiliko. Nenda stendi ya makumbusho utaona, Nenda kwenye kingo za bahari chuo cha mwalimu nyerere utaona. Mitaro ya maji Buguruni Mivinjeni, Sharifu Shamba na Mtoni kwa Azizi Ali utaona maendeleo ya project.
Acha ushamba wewe.
 
Nani analeta povu? Hapa ninawaelewesha nyie msiojua.
Mradi umeanza utekelezaji wake na tunaona mabadiliko. Nenda stendi ya makumbusho utaona, Nenda kwenye kingo za bahari chuo cha mwalimu nyerere utaona. Mitaro ya maji Buguruni Mivinjeni, Sharifu Shamba na Mtoni kwa Azizi Ali utaona maendeleo ya project.
Acha ushamba wewe.
Sawa, whatever the case... Its donors money sio our own source... Punguza povu haya ni maongezi,
 
Sawa, whatever the case... Its donors money sio our own source... Punguza povu haya ni maongezi,
Umesoma lakini au ndiyo roho mbaya za kishetani kulazimisha vitu? Nimekupatia link usome sasa unaendelea kukazania tu issue yako.
soma link toka World bank nimekupatia. Au hujui kingereza tukisaidie?
Acha ushamba.
 
Eti not our own money? Kwani hata kama ni mkopo who will pay back the loan?
Hivi kwani ukikopa pesa sehemu hiyo pesa inakuwa yako au inabaki kuwa ya yule uliyemkopa!
Jibu ni kwamba pesa inakuwa ya kwako hivyo hata kama tunajenga kwa kukopa situtalipa!
Wengi wa wale hupenda kukosoa kila kitu.
 
Sasa kujenga mitaro na Kongo za bahari ndo miradi ya metropolitan hiyo,kuwen xriac basi nyie wahenfa wetu
 
Sasa kujenga mitaro na Kongo za bahari ndo miradi ya metropolitan hiyo,kuwen xriac basi nyie wahenfa wetu
Inaonekana hujui mambo yoyote. Kwanza nikiona mtu anachanganya herufi na kuweka X huwa ninamdharau hapo hapo na kumuona ni mtoto mdogo sana yaani yupo primary school. Uelewa wako unajieleza wenyewe kuwa wewe ni mfinyu na upeo wako ni mdogo.
 
Naona umeanza mambo yako ya ushoga. Nimekwambia hapa siyo FB.
Haaa! Hivi kumbe uzee nao ni ugonjwa wa akili,aisee kwa comment hizi uzee wako umechukua sura mpya,watu dizaini yako ndio wanasababisha kada za uzee idharaulike
 
Nani analeta povu? Hapa ninawaelewesha nyie msiojua.
Mradi umeanza utekelezaji wake na tunaona mabadiliko. Nenda stendi ya makumbusho utaona, Nenda kwenye kingo za bahari chuo cha mwalimu nyerere utaona. Mitaro ya maji Buguruni Mivinjeni, Sharifu Shamba na Mtoni kwa Azizi Ali utaona maendeleo ya project.
Acha ushamba wewe.
Mshamba wewe ambaye huwezi eleza bila kukakshfu na mbumbumbu ni wewe
 
Inaonekana hujui mambo yoyote. Kwanza nikiona mtu anachanganya herufi na kuweka X huwa ninamdharau hapo hapo na kumuona ni mtoto mdogo sana yaani yupo primary school. Uelewa wako unajieleza wenyewe kuwa wewe ni mfinyu na upeo wako ni mdogo.
Uwezi uka mjaji kwa kuchanganya herufi
 
Daah aisee nimeona watu wana uelewa Mdogo Sana humu, na hii ndio inapelekea Tz kwenda kwa shida Sana, mizigo mingi ya Kuvuta. MTU anapinga kila kitu ukiangalia hoja zake zinanuka maziwa, za kitoto kabisa. Ngoja mradi ukiisha tutarudi kuwaonyesha kilichokua kinafanyika
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo anazungumzia Mradi wa maendeleo ya uboreshaji Jiji la Dar es salaam Mradi unaogharimu takribani Tsh Bilion 660.


Hii u fuckdem inafanya nini Kenyan news?? Ama dar slum iko kenya
 
Back
Top Bottom