Wanacho ogopa ni legal implication. Hawa wa ustawi wa jamii hawapendi kuwa na vichanga visivyo na madingi kwahiyo wanatumia mwanya ku slow down na kukatisha tamaa ili kulinda family bond.
Solution
Waambie wahusika wazushe zogo la mtu kutoka damu japo kidogo, nasema hivi kwasababu so far kuna zogo,hadi watu wakapime DNA si shwari!!!!!!!, na kama ni uelewa mzuri wa ustawi wa jamii na mahakama wangetoa barua. Lakini kwa vile wanataka evidence basi mmoja amchape mwenzake kibao kuwe na ka kesi ka kishakaji kabla ya hukumu mnarudisha mashataka kwa wazazi [fake]. Hii nayo inategemea bifu likoje, kama mume akimchapa kibao mamaa, mamaa anaweza komaa hadi hukumu ili kukwepa matokeo ya DNA,hapo sipo! hapa si promote violence natafuata short cut.
Nchi yetu ukifuata procedure, utapewa barua 2015