Do kweli ukishangaa ya Musa utaona ya firauni Mtoto wa miaka 14 afungwa maisha

Do kweli ukishangaa ya Musa utaona ya firauni Mtoto wa miaka 14 afungwa maisha

Radi

Member
Joined
May 22, 2010
Posts
94
Reaction score
16
25th May 2011









Mvulana mwenye umri wa miaka 14, mkazi wa kijiji cha Senani kata ya Ipililo wilaya Maswa mkoani Shinyanga, amehukumiwa kifungo cha maisha jela na kuchapwa viboko sita akiwa gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kubaka na kulawiti mtoto mwenye umri wa miaka mitano.
Akitoa hukumu hiyo, Hakimu Mfawidhi wa Wilaya ya Maswa, Tamphon Mtani, alisema mshtakiwa huyo alikutwa na kosa la kumbaka mtoto huyo baada ya yeye kukiri kufanya na kutenda kosa hilo mbele ya mahakama hiyo.
Kabla ya hukumu hiyo kutolewa Mwendesha Mashtaka wa Polisi, Kidwadi Kalinga, aliiambia mahakama kuwa Mei 15, mwaka huu, saa 10:00 jioni, akiwa ndani ya nyumba anamoishi (ghetto) kijijini hapo, mtuhumiwa huyo alimwita mtoto huyo (jina limehifadhiwa) alipokuwa akicheza na wenzake jirani na nyumba hiyo.
Mwendesha mashtaka alidai kuwa James alimwomba mtoto huyo aingie ndani ili ampatie pipi na ndipo mtoto huyo alipoingia hadi ndani ya chumba cha kijana huyo. Kwa mujibu wa Mwendasha Mashtaka, baada ya mtoto huyo kuingia chumbani, James kwa kudhamiria alimwingilia sehemu zake za siri mbele na nyuma na ndipo mtoto alipoanza kupiga kelele na majirani kusikia.
Alidai kuwa baada ya majirani kusikia na James kupata hofu, aliamua kukimbia kwa kutumia baiskeli, lakini wananchi walimhoji na kumuuliza kulikoni na walipoingia ndani ya chumba chake walimkuta mtoto huyo akitokwa damu sehemu zake siri na haja kubwa.
Wananchi hao walikwenda moja kwa moja polisi na ndipo mtuhumiwa alipokamatwa na kufunguliwa mashtaka ya kubaka na mbele ya hakimu huyo alipohojiwa alikiri kufanya kosa hilo. Hata hivyo, kijana huyo alipopewa nafasi ya kujitetea apunguziwe adhabu, hakufanya hivyo badala yake alibaki kimya.



CHANZO: NIPASHE


My take; Hivi hawa mahakimu wanajua sheria kweli au ni ubabaishaji jamani.
 
25th May 2011









Mvulana mwenye umri wa miaka 14, mkazi wa kijiji cha Senani kata ya Ipililo wilaya Maswa mkoani Shinyanga, amehukumiwa kifungo cha maisha jela na kuchapwa viboko sita akiwa gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kubaka na kulawiti mtoto mwenye umri wa miaka mitano.
Akitoa hukumu hiyo, Hakimu Mfawidhi wa Wilaya ya Maswa, Tamphon Mtani, alisema mshtakiwa huyo alikutwa na kosa la kumbaka mtoto huyo baada ya yeye kukiri kufanya na kutenda kosa hilo mbele ya mahakama hiyo.
Kabla ya hukumu hiyo kutolewa Mwendesha Mashtaka wa Polisi, Kidwadi Kalinga, aliiambia mahakama kuwa Mei 15, mwaka huu, saa 10:00 jioni, akiwa ndani ya nyumba anamoishi (ghetto) kijijini hapo, mtuhumiwa huyo alimwita mtoto huyo (jina limehifadhiwa) alipokuwa akicheza na wenzake jirani na nyumba hiyo.
Mwendesha mashtaka alidai kuwa James alimwomba mtoto huyo aingie ndani ili ampatie pipi na ndipo mtoto huyo alipoingia hadi ndani ya chumba cha kijana huyo. Kwa mujibu wa Mwendasha Mashtaka, baada ya mtoto huyo kuingia chumbani, James kwa kudhamiria alimwingilia sehemu zake za siri mbele na nyuma na ndipo mtoto alipoanza kupiga kelele na majirani kusikia.
Alidai kuwa baada ya majirani kusikia na James kupata hofu, aliamua kukimbia kwa kutumia baiskeli, lakini wananchi walimhoji na kumuuliza kulikoni na walipoingia ndani ya chumba chake walimkuta mtoto huyo akitokwa damu sehemu zake siri na haja kubwa.
Wananchi hao walikwenda moja kwa moja polisi na ndipo mtuhumiwa alipokamatwa na kufunguliwa mashtaka ya kubaka na mbele ya hakimu huyo alipohojiwa alikiri kufanya kosa hilo. Hata hivyo, kijana huyo alipopewa nafasi ya kujitetea apunguziwe adhabu, hakufanya hivyo badala yake alibaki kimya.



CHANZO: NIPASHE


My take; Hivi hawa mahakimu wanajua sheria kweli au ni ubabaishaji jamani.

131. Punishment for rape Act No. 4 of 1998 s. 6
(1) Any person who commits rape is, except in the cases provided for in the renumbered subsection (2), liable to be punished with imprisonment for life, and in any case for imprisonment of not less than thirty years with corporal punishment, and with a fine, and shall in addition be ordered to pay compensation of an amount determined by the court, to the person in respect of whom the offence was committed for the injuries caused to such person.
(2) Notwithstanding the provisions of any law, where the offence is committed by a boy who is of the age of eighteen years or less, he shall–
(a) if a first offender, be sentenced to corporal punishment only;
(b) if a second time offender, be sentence to imprisonment for a term of twelve months with corporal punishment;
(c) if a third time and recidivist offender, he shall be sentenced to life imprisonment pursuant to subsection (1).
(3) Notwithstanding the preceding provisions of this section whoever commits an offence of rape to a girl under the age of ten years shall on conviction be sentenced to life imprisonment.
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
131. Punishment for rape Act No. 4 of 1998 s. 6
(1) Any person who commits rape is, except in the cases provided for in the renumbered subsection (2), liable to be punished with imprisonment for life, and in any case for imprisonment of not less than thirty years with corporal punishment, and with a fine, and shall in addition be ordered to pay compensation of an amount determined by the court, to the person in respect of whom the offence was committed for the injuries caused to such person.
(2) Notwithstanding the provisions of any law, where the offence is committed by a boy who is of the age of eighteen years or less, he shall–
(a) if a first offender, be sentenced to corporal punishment only;
(b) if a second time offender, be sentence to imprisonment for a term of twelve months with corporal punishment;
(c) if a third time and recidivist offender, he shall be sentenced to life imprisonment pursuant to subsection (1).
(3) Notwithstanding the preceding provisions of this section whoever commits an offence of rape to a girl under the age of ten years shall on conviction be sentenced to life imprisonment.[/QUOTE]

Afadhali mkuu maana watu wengine wanalaum bila kufanya utafiti.
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
131. Punishment for rape Act No. 4 of 1998 s. 6
(1) Any person who commits rape is, except in the cases provided for in the renumbered subsection (2), liable to be punished with imprisonment for life, and in any case for imprisonment of not less than thirty years with corporal punishment, and with a fine, and shall in addition be ordered to pay compensation of an amount determined by the court, to the person in respect of whom the offence was committed for the injuries caused to such person.
(2) Notwithstanding the provisions of any law, where the offence is committed by a boy who is of the age of eighteen years or less, he shall–
(a) if a first offender, be sentenced to corporal punishment only;
(b) if a second time offender, be sentence to imprisonment for a term of twelve months with corporal punishment;
(c) if a third time and recidivist offender, he shall be sentenced to life imprisonment pursuant to subsection (1).
(3) Notwithstanding the preceding provisions of this section whoever commits an offence of rape to a girl under the age of ten years shall on conviction be sentenced to life imprisonment.[/QUOTE]

Afadhali mkuu maana watu wengine wanalaum bila kufanya utafiti.


Mkuu nimeona nimuwekee kifungu kabisa akisome kabla ya kulaumu
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Asante kwa kifungu...Umetusaidia wengi kwenye hilo
 
Zipo nyingi tu!!ingine iko pale dakawa kubwa tu na wanasoa kabisa masomo ya shule msingi labda na sasa sekondari itakuwepo
 
Lakini maisha kwa kubaka? Hmmm something ain't right somewhere.
 
Kwa kweli hii hukumu hakimu hakustahili kuitoa, ni sawa mshtakiwa alikiri lakini angeangalia umri pia
 
Kwa kweli hii hukumu hakimu hakustahili kuitoa, ni sawa mshtakiwa alikiri lakini angeangalia umri pia

15. Immature age Act No. 4 of 1998 s. 4
(1) A person under the age of ten years is not criminally responsible for any act or omission.
(2) A person under the age of twelve years is not criminally responsible for an act or omission, unless it is proved that at the time of doing the act or making the omission he had capacity to know that he ought not to do the act or make the omission.
(3) A male person under the age of twelve years is presumed to be incapable of having sexual intercourse.

Mkuu age yake hapo inamuweka pabaya maana ameshapitiliza umri wa kisheria ambao wanasema hawezi kufanya sex wa miaka kumi na mbili
 
Kwa kweli hii hukumu hakimu hakustahili kuitoa, ni sawa mshtakiwa alikiri lakini angeangalia umri pia

unasemaje?hk ndugu maneno haya yanatoka mdomon mwako kwel?hauna huruma kabsa?pata pcha kama mwanao au ndugu yako wa karbu,inaelekea na wewe ndio walewale.
 
Acheni kuzingua mtoto wa miaka 14 ana uwezo gani wa kufikiri? nyie nyie ndo mnakata viuno uchi watoto wenu wao wanasomba bila kuchagua afu mnakuja kuwalaumu. tatizo ni mfumo mnao wajengea wototo wenu.
 
Back
Top Bottom