bebii nikikuuliza what is love kwa maelezo yako wewe
hiyo definition oya huyo hapo juu sio kweli bana
kwani nikikupenda ndo nitakuwa na sex free
je kukutoa out, kukununulia msosi, viwalo, gharama za lodge, pesa kidogo za matumizi sio gharama kweli[/QUOTE] KAMA UPO TAYARI KWA HIZO REDI NIKO TAYARI MKUU
bebii nikikuuliza what is love kwa maelezo yako wewe
hiyo definition oya huyo hapo juu sio kweli bana
kwani nikikupenda ndo nitakuwa na sex free
je kukutoa out, kukununulia msosi, viwalo, gharama za lodge, pesa kidogo za matumizi sio gharama kweli[/QUOTE] KAMA UPO TAYARI KWA HIZO REDI NIKO TAYARI MKUU
niko tayari kwa asilimia zote plus kuwasiliana na wewe na kuwatangazia wote wanijuao kuwa niko in love na sina woga wa kutembea na wewe wala kuwaonyesha marafiki zangu kuwa i have someone
Uknow what nimesikia tena msemo mmoja jana kwenye movie fulani inasema " A man can show you his bed but not his home" sasa sijauelewa may be AshaDii na Bebii mnisaidie anamaanisha nini
lakini sis wasichana wengi wanapenda kungangania sana wanaume sijui ni material support au nini? kweli unakuta dalili zote za kutopendwa zinaonekana wazi lakini mtu yupo tu .watu wanadhani kuachana hadi kwa ngumi na matusi labda ila dalili moja tu unatakiwa uchukue hatua.
NGOJA NIKUULIZE UNANILOVE?niko tayari kwa asilimia zote plus kuwasiliana na wewe na kuwatangazia wote wanijuao kuwa niko in love na sina woga wa kutembea na wewe wala kuwaonyesha marafiki zangu kuwa i have someone
Uknow what nimesikia tena msemo mmoja jana kwenye movie fulani inasema " A man can show you his bed but not his home" sasa sijauelewa may be AshaDii na Bebii mnisaidie anamaanisha nini
I feel loved by my God, my parents n my son but
I feel used by men!
NGOJA NIKUULIZE UNANILOVE?
I like you and after sometime i will learn to love you
...mizani ya mapenzi. Katika siku 30 kila mwezi, au siku 365 za mwaka, mwenza wako anatumia muda gani ku behave namna hiyo?...inawezekana ni circles/phase mbali mbali tofauti za mapenzi i.e, motomoto, vuguvugu, au baridi...
.Ashadii, thread imetulia sana, mie kwa upande wangu huwa wakati mwingine nahisi maji kupwa na maji kujaa, yaani wakati mwingine najisikia napendwa saaana mpaka najiona im the luckiest woman living in this planet, na wakati mwingine najiona sipendwi, nakuwa mpweke, sometimes unawaza mpaka unalia mwenyewe, then baada ya muda unaona tena mahaba yamerudi, sijui hii nayo ni nini!....na hii hali hainifanyi nikate tamaa ya kukatisha mahusiano.
Asante dear for acknowledging . Kuhusu swala lako Shantel tokana na uzoefu wangu kwa maelezo hayo ulotoa katika hii post ni kua you are in a good relation ship Mahusiana ya Mapenzi hayako constant eti kila siku kuwe na so much Love Ndio mwaweza pendana bado but still naturally tu mambo yanapoa, then yanarudi on and on and on . However ni tatizo pale mambo mazuri saana mwanzo but once yakilala basi yamelala moja kwa moja . Hata wahusika mjitahidi namna gani vibe hairudi and for a long time Hivo basi nimependa huo msimamo wako nilo bold I bliv ni best option..
WHEN? LET ME WAITI like you and after sometime i will learn to love you
Kloro bana!! Mie si ndio nastahili kutoa shukrani kwa kuniongezea Useful point?? Sasa naona wewe ndio unampango wa kunivimbisha kichwa.... lol
WHEN? LET ME WAIT
yeah u have to wait ,maana love can not erupt like a volcano subiri niuulize moyo kwanza then ndo ninaweza kuwa na majibu
Sometimes inatokea kwangu,akiniambia "i love you"
naishia kusema "me too"!!!!
Sio kwa sababu simpendi,ila sometimes unakua umechoka,
hujisikii kuongea chochote na yeyote ndo yanakuja hayo "i love you"
Na the thing inanichosha sana ni "i miss you",...ambayo utarudia kusema "i miss you too"
kwa siku unaweza ambiwa mara 10,inachosha na nikichoka kuisikia unaweza dhani sikupendi.
Kutumia maneno ya aina ileile mara nyingi inachosha,...creativeness inapalilia mapenzi
ERUPT BWANA. LAKINI NITAKUSUBIRI U A THE REASON FOR ME TO BE HERE-JFyeah u have to wait ,maana love can not erupt like a volcano subiri niuulize moyo kwanza then ndo ninaweza kuwa na majibu
ERUPT BWANA. LAKINI NITAKUSUBIRI U A THE REASON FOR ME TO BE HERE-JF
Wou !!!!!???? i like that
Thank you for that passionate words and am greatful mpaka kichwa kimevimba kwa raha ya hayo maneno
Jealousy .[/COLOR]
Watu wanasema wivu ni dalili ya mapenzi.. Binafsi napinga. Utawekaje wivu kwa binadamu ambaye hujui ndani ya moyo wake anafikiri nini. Utafikiri vipi kuwa mimi nin-cheat wakati kama nin-cheat siwezi kukwambia? Wivu ni waste of time na psychological torture. Kama hujui..sahau!
Kaunga
Do you, with that line...also believe in this (courtesy ya my friend)
The difference between sex, super sex and love...
Girl asks her mother: What is sex?
Mother: Sex is when you stop a car driven by a man who offers you a meal in a restaurant, and then you spend some time with him in the hotel room, sleep with him once, and then each one go on his way and you have a hundred dollars bill extra in your pocket.
Then the girl asks her mother: What is Super Sex?
Mother: Super sex is when you stop a limousine driven by Chauffeur and a stylish man is sitting in the back who takes you to a luxurious villa, gives you a sumptuous meal with distinctive Caviar...and then you spend the night together in bed and engage in sex more than once, and then you part with an envelope containing a thousand dollars in your pocket.
And then the girl asks her mother: What is love?
Mother: Love is a lie invented by men so that they can have sex with you for free.