Hiyo ni sheria ya Tanzania au wapi? Vipi kwa ndoa za jinsia moja (say wanawake tupu) hii dhana ya 'consumation' (insertion?) inakuwaje? Na vipi kama watu wanatumia mpira (condom) hiyo consumation inakuwaje?
Wewe utakuwa mwanafunzi nini? Leo ndio kwenye course ya 'family law' ndio mmefundishwa? Canon Law inaongelea vizuri tu kuhusu suala hili na kuelewa sio lazima uwe lawyer!!!!!!
Proving an allegation is a matter of law. He who alleges must prove! You will have to prove to the court on the balances of probabilities that the marriage has never been consummated!
Huyo ni mwanafunzi wa sheria sio mwanasheria maana sie wanasheria hatuna kingereza bomu namna hiyo.
Same thing! Woman avoid that marriage for non consummation. And the effect will that she has never been married at all!
Erotica, ni kwamba ili ndoa iwe halali lazima mnapofunga ndoa ifuatiwe na what is called consummation. It means you must do. Now it doesnt matter how far you have done but if there was an insertion that it. Mf wakati mnatoka kanisani u got an accident(God forbid), one of you dies. The marriage will be void for non consummation and therefore it will be as if you were never married. Think of issues of importance and the like
Well, mimi sio mwanasheria na wala sijawahi kusomea sheria
nimekuwa enlightened kuwa laws of marriage pia inasema kuwa kama hakuna consummation, hiyo ndoa inaweza kuwa null and void ab initio
nilikuwa nafahamu kidini tu..kwamba mkishatoka kanisani (sijui kwa wenzetu waislam) ni shurti mkamegane ili kukamilisha kitendo chenyewe...na kisipofanyika, ina maana mmojawenu 'akiwa kichaa' akaenda mahakamani atadai ndoa haikuwepo tangu mwanzo kwa sababu haikuwa consummated.
haya jamani nani anataka kufanya practice?
Well, mimi sio mwanasheria na wala sijawahi kusomea sheria
nimekuwa enlightened kuwa laws of marriage pia inasema kuwa kama hakuna consummation, hiyo ndoa inaweza kuwa null and void ab initio
nilikuwa nafahamu kidini tu..kwamba mkishatoka kanisani (sijui kwa wenzetu waislam) ni shurti mkamegane ili kukamilisha kitendo chenyewe...na kisipofanyika, ina maana mmojawenu 'akiwa kichaa' akaenda mahakamani atadai ndoa haikuwepo tangu mwanzo kwa sababu haikuwa consummated.
haya jamani nani anataka kufanya practice?
Labda pia ni swala kujiuliza kwanini ndoa kwa asili ilikuwa ni mwanaume+mwanamke na sio vinginevyo
Wewe unajua mantiki ya ndoa kurasimishwa kwa ngono?