Do you think our artists can raise their voices to address sensitive issues in Tanzania?

Do you think our artists can raise their voices to address sensitive issues in Tanzania?

Shining Light

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2024
Posts
406
Reaction score
523
There is a new trend where people globally are blocking celebrities who are not addressing sensitive world issues, such as the Gaza conflict.

It began at the Met Gala when content creator Haley Baylee said, "Let them eat cake," which triggered many of her fans and others who compared the situation to the infamous quote attributed to Marie Antoinette, the extravagant queen.

In the context of Tanzania, which artist would you want to address the issues happening in the country, and why? Conversely, which artist would you block for ignoring these sensitive matters?

Do you think our artists can raise their voices to address issues such as domestic violence, suicides, corruption, student loans, or other important matters to help shape a better society?

Also Read: "Let them eat cake" these were the words of Queen Marie of France, when women couldn't afford bread and fueled the French Revolution
 
Wewe ambae educated umeandika nini hapa? Sio kila mwenye elimu ameelimika
Hii ni kweli kabisa, ila nimekuwa kwa kujua msanii ni kioo cha jamii, anatakiwa kuwa na darubini kali kuona mbali, na wasanii wetu hawaoneshi kama wamelimika au wanaelimu kuhusu haya mambo ya Nchi, Unless it directly affect them ndio unaona ka awareness flani ivi they talk about
 
Kibongo bongo ni ngumu sana, mnaanza wengi mwishoni unajikuta matatizoni mwenyewe.
 
Nimeishia hapo ulipo andika "such as the Gaza conflict"
 
Hii ni kweli kabisa, ila nimekuwa kwa kujua msanii ni kioo cha jamii, anatakiwa kuwa na darubini kali kuona mbali, na wasanii wetu hawaoneshi kama wamelimika au wanaelimu kuhusu haya mambo ya Nchi, Unless it directly affect them ndio unaona ka awareness flani ivi they talk about
Ambao wanapaza sauti zao nanyi huwa mnawalinda wanaposhughulikiwa? Roma na ney wa mitego washakutana na makali ya hawamu iliyopita kwa sababu ya kuwatetea wananchi na hakuna raia yoyote alithubutu hata kuandamana zaidi ya kubweka bweka tu mitandaoni. Watanzania ni waoga na wanafiki watakujaza upepo utangulie mbele ukishughulikiwa wanakuacha peke yako. Watanzania sio watu wa kuwapigania kila mtu apambanie mechi zake tu.
 
Ambao wanapaza sauti zao nanyi huwa mnawalinda wanaposhughulikiwa? Roma na ney wa mitego washakutana na makali ya hawamu iliyopita kwa sababu ya kuwatetea wananchi na hakuna raia yoyote alithubutu hata kuandamana zaidi ya kubweka bweka tu mitandaoni. Watanzania ni waoga na wanafiki watakujaza upepo utangulie mbele ukishughulikiwa wanakuacha peke yako. Watanzania sio watu wa kuwapigania kila mtu apambanie mechi zake tu.
Pia na wewe ni kama tunabweka wote tu, au unaona kuna njia hili jambo linaweza kuwa implemented
 
Back
Top Bottom