Do Zombies and Vampires Exist?

jamani do zombies and vampires exist?

Yes, they do exists, tena hapa Tanzania wapo wengi tu,
Zombies ndio Wanachama wa CCM yaana hawajitambu kabisa, wanapelekwa pelekwa tu. Wao kanga na ubwabwa ndo kila kitu.
Vampires ndiohao mafisadi wanyonya uchumi wetu bila haya na ukiwagusa tu wanaweza kukupoteza kwa kasi ya kufa mtu.
Kuwa makini Mkuu, hata hapo ulipo now wapo around wengi tu.
 
Ananikosha Damon ..ingawa wote kwa pamoja ni wazuri sana ...

DAMÖN!kuna saa unatamani you could date one,ahaha!.kama ni myth bas tena..ila najiulizaga,if they dont,then where did the notion come from?kama they did,je kuna possibility that somehow somewhere bado wapo?
 
DAMÖN!kuna saa unatamani you could date one,ahaha!.kama ni myth bas tena..ila najiulizaga,if they dont,then where did the notion come from?kama they did,je kuna possibility that somehow somewhere bado wapo?

Watu wako kazini..It is a fiction mkuu,
 
Hakuna Vampires na Hakuna Zombies kwa maana halisi. Kuna hallucinations ambapo watu huona visions za vitu visivyokuwepo kutokana na matatizo ya kwenye ubongo au kutokana na kutumia aina fulani fulani za madawa ya kulevya. Vitu hivi huzungumzwa sana kwa sababu wapo watu (wenye matatizo hayo niliyotaja) huviona. Sasa kwa kuwa hivi ni vitu vinavyotengenezwa na akili zenye matatizo (ugonjwa au ulevi) vinaendelea kubaki kwenye legend.

Hawa wanaoitwa eti misukule wanaokamatwa na hawa wachungaji wa "bongo fleva" huwa ni maigizo na wale watu wengi ni watu halisi wanaofanya sanaa tu kuwadanganya watu. Hakuna mtu halisi wala mfu aliyechukuliwa msukule kwa kinachoitwa njia za kichawi. Ni kweli wapo watu hutekwa nyara na kufanyiwa brain-washing ila hili hufanyika kwa kutumia njia za kawaida kabisa.

Uchawi si real, ni sanaa na uongo!
 

da aisee bonge la lecture...tumekusoma aisee...
 
ITS TRUE, THEY REAL EXIST ONLY IF YOU BELIEF & WISH TO JOIN UNDERWORLD AFFAIRSS, U WILL BE ABLE TO SEE THIS EARTH IN HOLOGRAM (3D).........ask some 1 to share ILLUMINATI BLOOD WITH U, U WILL HAVE JURISDICTION. YOU ARE WELCOME.
 
ITS TRUE, THEY REAL EXIST ONLY IF YOU BELIEF & WISH TO JOIN UNDERWORLD AFFAIRSS, U WILL BE ABLE TO SEE THIS EARTH IN HOLOGRAM (3D).........ask some 1 to share ILLUMINATI BLOOD WITH U, U WILL HAVE JURISDICTION. YOU ARE WELCOME.
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…