Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Ni Mkala toka visiwa vya UkereweBILA SHAKA WEWE NI MSUKUMA
Siyo rahisi mtu mwenye CV hiyo kujiita 'poor brain'Ni mimi hapa maro mwenyewe kama una lingine uliza ππππππ
Kunichuwaa
Ni usalama wa taifaHabari zenu wakuu!
Hivi huyu mtangazaji wa kipindi cha njia panda kinachorushwa kila jumapili Clouds Fm, Doctor Isaac Maro ni Doctor kweli?
Na kama ni daktari kweli, anawezaje kumudu kazi zote mbili?
Ni phd huyoMBONA ANAYO HOSPITAL YAKE, HUYO NI CLINICAL OFFICER
Kalili..ππππSiyo rahisi mtu mwenye CV hiyo kujiita 'poor brain'
Chanuo lenyewe lina kazi mbiliNi MD product ya MUHAS hiyo.
Mwanaume hawi na kazi moja tu kama chanuo.