Doctor kakimbia mji baada ya kunusurika kuuawa na aliyekuwa mke wake

You are good in telling stories.
Halafu kwa connected series. Haina "itaendele...."👍
 
Duh Mzee Baba story nimeisoma yote yaani Ina mtiririko mzuri. Hivi visa vya police vipo sana hata Mimi yalinikuta ya kufanana na hayo. Lakini nimemove on....
 
Deep unastory zingine mama hizi Nipe Link Brother niendelee kujifunza kitu
 
Hospitali ya Dini ambayo iko nje ya Mji kwa harakaharaka ni KCMC...

Hopitali ya Serikali ambayo mtu anaweza kupaki maeneo ya Mochwari ni Mawenzi.

Huenda location ilikuwa Moshi.
Kudos unajua mkuu asante sana
 
We pita tu na uvivu wako wa kusoma
Kumbaff. Unajuaje mie ni mvivu wa kusoma wakati nasoma kuliko wewe na wazazi wako. Ungejua mie si msomaji bali mtunzi wa hivyo vitabu vyetu unavyosoma. Kumbaff na senzi we mafi ya kuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…