Medicine it pays more
hakuna professional inalipa zaidi ya nyingine inategemea wewe utaangukia wapi baada ya kuhitimu. uzuri wa medicine kwa sasa ni kwamba serikali inatoa ajira nyingi kwa fani hiyo hivyo ukimaliza uwezekano wa kupata ajira ni mkubwa, kwa kuanzia mshahara wa daktari uko juu ila ukiwa environmental science katika mda mrefu iwapo mfano utafanikiwa kuingia katika miradi ya maji inalipa kuliko udaktari.
maisha hayana kanuni mdogo wangu kuna watu waliishia fomu four lakini sasa hivi wanamiliki mamilioni wakati kuna watu wana degree, masters na phd wanahangaika.
kama hoja yako ni mas
Medicine ndio mpango mzima kwa sasa.
Hutajuta kabisa, kwani utapata mkwanja(Kiasi!!!) na utaosha jina sana ila jiandae kuumiza kichwa kusoma na kutumika kama mfungwa wa segerea ukija kufanyakazi.
Kama una wito wa kutibu watu uta-enjoy zaidi kinyume na hapo utageuka kuwa mtumwa tu!!
wadau wana JF Nimemaliza kidato cha 6 mwaka huu mchapuo wa PCB nakupata div 2 point 12 naomba ushauri,
kati ya bachelors in MD na Environmental Health Science ni ipi ina maslai zaidi?
ukizingatia hiki ni kipindi ambacho mtu anatakiwa kufanya maamuzi ya busara katika uchaguzi wa kozi ya kusomea ili baadae asije akajutia maamuzi yake.
NB; KAMA KUNA MTU ANAUSHAURI TOFAUTI ANAKARIBISHWA.
Natanguliza shukrani.
hatufuati maslai.ili usome nn angalia md hatusomei kwa maslai hiyo sio ethics ya dr so kama wafuata maslai kasomee finance huku kazi tu ingia mchezoni uone