Doctor of veterinary medicine na doctor of medicine

dogo hizo MD au pharmacy usijaribu kugusa MUHAS. nenda hivyo vyuo vingine ukale bata then mtaani mnakuwa sawa. i hate muhas mpaka basi.

kwa nn unaihate mkubwa mbona unatutisha sana....!!
 
Unafanya vizuri sana kumtunza Tom ipasavyo...

ahh yeah, he's my boy. Everytime i get home and he just stares me while sleeping on a couch, what more can i ask(that lazy cat 😀). Nlikua na female cat before Tom ila alipass after i took her 2 this one vet kumhasi(she used 2 get pregnant everyday) R.i.p Cindy!!
 
Mkuu vip ulidisco pale nn!

hapana, nilimaliza na nina grade nyingi tu za kusoma masters ila the way i know myself grade nilizokuja kuzipata muhas nilivuja mpaka serum na ni tofauti na uwezo wangu. washkaji zangu walioenda vyuo vingine kwa kutoqualify muhas wametoka vizuri kabisa na chuoni walikuwa wanakula bata tu
 
kwa nn unaihate mkubwa mbona unatutisha sana....!!
muhas bado ipo kizamani sana. bado wana yale mawazo ya c ya muhas ni sawa na A ya vyuo vingine kumbe life la leo ni tofauti sana. wao wenyewe wakitangaza ajira zao wanaexclude almost wanafunzi wao wote kwenye vigezo
 
muhas bado ipo kizamani sana. bado wana yale mawazo ya c ya muhas ni sawa na A ya vyuo vingine kumbe life la leo ni tofauti sana. wao wenyewe wakitangaza ajira zao wanaexclude almost wanafunzi wao wote kwenye vigezo


Couldn't agree anymore .. inabidi wabadilike pale.. na wanavyobana kwenye paper zao we acha tu mwisho wa siku for MD it doesn't matter umesoma wapi ..

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…