Doctor wa humu msaada wa haraka unahitajika

Mapolomoko

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2013
Posts
1,751
Reaction score
422
Wapendwa habarini za asubuhi jana arufajiri niliamka kuwahi shamba nikiwa njiani alitokea mdudu na kuniuma mdomo wa juu mdomo ukaanza kuvimba. nilivumilia uvimbe nikijua utaisha, mdaulivyokuwa ukisonga ndinvyo na uvombe ulivyokuwa unaongezeka. ni.eamka asububi hii naona hata uso nao umevimba nafanana kama nyani naombeni msaada njia ya kumaliza uvimbe sinamaumivu yoyote ninayo yasikia asanteni.
 
Nenda hospitali wewe.

nikoshambani mbari na mji kamaunajua dawa niandikie nikanunue. kunakijiduka hapa nimeshindwa kwenda kununua muuzaji hana uelewa mzuri. anauzatu kwaakuwa ni kijijini.
 
teh teh teh pole sana mkuu Mapolomoko
utasaidiwa husijali!
 
Last edited by a moderator:
Mura nenda hospitali mapema, wadudu wa shambani sio wa kufanya nao mchezo aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…