Kwanza kabisa napenda kutoa shukrani zangu kwa MWENYEZI MUNGU..kwakunipa PUMZI NA AFYA NJEMA.
Wapenzi, nina Ndugu yangu ana bleed mwezi wa 3 mfululizo na maumivu makali sana ya Tumbo;
UTAMBULISHO WAKE KWA UFUPI;
Umri wake miaka 25,
Ana mtoto wa miaka 4,
Yuko Dar Es Salaam,
HISTORIA YA UGONJWA WAKE;
Alianza kubleed mwezi wa pili mwaka huu 2015..mpaka sasaivi mwezi huu wa 4 bado anableed mfululizo bila damu kukata.
Alipelekwa Muhimbili Hospital wakampima na kusema kua HORMONE ZAKE HAZIJABALANCE NAPIA KIZAZI KIKO WAZI NA BACTERIA WAMEINGIA KWENYE KIZAZI..wakampatia dawa lakini hazikusaidia chochote kile akawa anaendelea kubleed kama kawaida na kuendelea kupata maumivu makali ya tumbo anasema tumbo linamuuma lote mpaka anahisi vichomi..linamuuma juu chini..kushoto..kulia pamoja na chini ya kitovu yaani kwa ufupi pande zote zihusizo tumbo zinamuuma na kulia kila siku.
Alipomaliza dozi pasi na matumaini yoyote yale..wakampeleka kwenye dawa za Asili Ilala Hospital flani nisingependa kuitaja
Napo akapimwa na kusema kua KIZAZI CHAKE KINA FANGUS NA WAMESHAMBULIA MLANGO WA UZAZI..wakampatia dawa za Asili
Sasa ana week ya pili tangu amalize kuzitumia izi dawa..dozi kamili ila anasema kidogo ana nafuu kwa upande wa utokaji wa damu yaani damu imepungua kasi kidogo japo bado inatoka ila maumivu ya tumbo ndio yamezidi
Doctor's msaada wenu muhimu tafadhali..bila ya kumsahau mkuu MziziMkavu..tafadhali usichoke
Na madoctor wengine pitieni hapa mtoe tiba tuweze kumuokoa uyu ndugu yetu..tafadhalini
Mungu awabariki.
Wapenzi, nina Ndugu yangu ana bleed mwezi wa 3 mfululizo na maumivu makali sana ya Tumbo;
UTAMBULISHO WAKE KWA UFUPI;
Umri wake miaka 25,
Ana mtoto wa miaka 4,
Yuko Dar Es Salaam,
HISTORIA YA UGONJWA WAKE;
Alianza kubleed mwezi wa pili mwaka huu 2015..mpaka sasaivi mwezi huu wa 4 bado anableed mfululizo bila damu kukata.
Alipelekwa Muhimbili Hospital wakampima na kusema kua HORMONE ZAKE HAZIJABALANCE NAPIA KIZAZI KIKO WAZI NA BACTERIA WAMEINGIA KWENYE KIZAZI..wakampatia dawa lakini hazikusaidia chochote kile akawa anaendelea kubleed kama kawaida na kuendelea kupata maumivu makali ya tumbo anasema tumbo linamuuma lote mpaka anahisi vichomi..linamuuma juu chini..kushoto..kulia pamoja na chini ya kitovu yaani kwa ufupi pande zote zihusizo tumbo zinamuuma na kulia kila siku.
Alipomaliza dozi pasi na matumaini yoyote yale..wakampeleka kwenye dawa za Asili Ilala Hospital flani nisingependa kuitaja
Napo akapimwa na kusema kua KIZAZI CHAKE KINA FANGUS NA WAMESHAMBULIA MLANGO WA UZAZI..wakampatia dawa za Asili
Sasa ana week ya pili tangu amalize kuzitumia izi dawa..dozi kamili ila anasema kidogo ana nafuu kwa upande wa utokaji wa damu yaani damu imepungua kasi kidogo japo bado inatoka ila maumivu ya tumbo ndio yamezidi
Doctor's msaada wenu muhimu tafadhali..bila ya kumsahau mkuu MziziMkavu..tafadhali usichoke
Na madoctor wengine pitieni hapa mtoe tiba tuweze kumuokoa uyu ndugu yetu..tafadhalini
Mungu awabariki.
Last edited by a moderator: