Doctors nisaidieni

Doctors nisaidieni

TATA MKURIA

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2015
Posts
299
Reaction score
407
Kuna uwezekano wowote mwanamke mjamzito kupoteza hamu ya tendo na akawa hana hata hisia? Hii imenitokea kwa wife ana preg ya karibu miezi mitatu hivi na tangu ameipata nimepigwa kibuti yaan nikijaribu hata kumgusia tu inakuwa shida, tafadhalini anayejua maana ya hii kitu kitaalam anishauri ili nijue nini cha kufanya
 
Katika hali hiyo hormones zina control mood swings usimlaumu na ukifika miezi Mitanni kuendelea anaweza atake hata Mara tatu kwa siku.
Asante mkuu Sky Eclat, nilianza kupata mashaka sana.
 
Katika hali hiyo hormones zina control mood swings usimlaumu na ukifika miezi mitano i kuendelea anaweza atake hata Mara tatu kwa siku.
na baada ya kujifungua ni siku ngapi yatakiwa ndio wafanye tendo?
 
Hii bwana ndomiongoni mwa sababu au vitu ambavyo wazee wetu wazamani wengiwao hawakuwa na mke mmoja,jaribu kuchunguza utakubariana na mm ndomaana hii Leo ndoa nyingi zimekuwa na michepuko,wezetu hawa wameumbwa tofauti sana,hiyo kawaida tu mzee vumilia,mimba zinambwembwe sana utayaona mengi.
 
Ni kawaida shukuru kama anaruhusu kitanda kimoja wengine tulishatengwa tukitokea anatapika tu ukichelewa kuludi ugonvi ukiwahi kwa niniumewahi unanichefua hilo lako do go sana
 
Kuna uwezekano wowote mwanamke mjamzito kupoteza hamu ya tendo na akawa hana hata hisia? Hii imenitokea kwa wife ana preg ya karibu miezi mitatu hivi na tangu ameipata nimepigwa kibuti yaan nikijaribu hata kumgusia tu inakuwa shida, tafadhalini anayejua maana ya hii kitu kitaalam anishauri ili nijue nini cha kufanya
Nikweli mura..inatokeaga..pole kk.Vumilia
 
Kuna uwezekano wowote mwanamke mjamzito kupoteza hamu ya tendo na akawa hana hata hisia? Hii imenitokea kwa wife ana preg ya karibu miezi mitatu hivi na tangu ameipata nimepigwa kibuti yaan nikijaribu hata kumgusia tu inakuwa shida, tafadhalini anayejua maana ya hii kitu kitaalam anishauri ili nijue nini cha kufanya
Pole sana.....hii ilinikuta ata mimi ilifika stage mwenzangu akawa ananiambi wewe lala tu chali niingiz usifanye chochote. Hii huwakutaga wanawake wengi kama baby ni boy
 
Mkuu Machuchu, asante kumb cpo peke yang kw tatizo hili, asante san
 
Back
Top Bottom