Kakende
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 2,741
- 1,232
Kuna taarifa kuwa kuna watanzania wanatumiwa na vikundi vya itkadi kali ili kuondoa amani Tanzania.
Agenda ya vikundi hivyo vya Uarabuni ambavyo kimsingi vipo kwenye Orodha za Ugaidi duniani ni kuhakikisha baadhi ya nchi za Afrika zinatawaliwa na Sharia. Vikundi hivi vinasaidia Boko haram Nigeria, Vilisaidia Kupindua Serikali ya Mali ili itawaliwe na Sharia.
Ukiona maazimio ya Pale Diamond Jubilee na Mahubiri ya Farid na Ponda hayana tofauti kabisa Mikakati ya boko haram. Mfano, lengo la boko haram ni kuhakikisha watu wa Nigeria wanatawaliwa na Sharia ya kiislam, pia Pale Diamond Jubilee Maazimio ni yaleyale kama ya Boko haram kuwa Tanzania itawaliwe na sharia za kiislam, na iwe nchi ya kiislam. Mipango ikiwa ni kuua na kuhakikisha ubarozi wa Vatican unafungwa.
Vikundi hivi vya vinavyotokea Saud Arabia, Misri na Algeria vinatumia umaskini wa nchi za Afrika ili kupenyeza Agenda zao, kwa hapa Afrika mashariki raia kutoka nchi tajwa uhamia kwenye mwambao wa bahari maana wanajua watapewa makazi na kupokelewa na jamii za mahali hapo. Baada ya hapo ufungua vikampuni vya kuvua samaki ikiwa ni danganya toto kumbe lengo lao ni kutafuta wenyeji na kuwapeleka kwenye mafunzo ya JIHAD, pia kuwaingiza kwenye harakati.
Kama kweli akina Ponda wanatetea haki za Waislam ilitakiwa kuitisha maandamano, kukutatana na viongozi wa Serikali ili kufanya majadiliano. Lakini kwa sababu wana Agenda yao binafsi kutoka nje ya nchi ndiyo maana utaona maazimio ilikuwa ni kuua au kuuawa, kufunga ubarozi wa Vatican na kufanya Tanzania iwe nchi ya Kiislam
Soma attachment hii kuanzia ukurasa wa 9 uone jinsi Ponda na Farid wanavyotumika, ikiwemo baadhi ya Uharifu walioufanya
Agenda ya vikundi hivyo vya Uarabuni ambavyo kimsingi vipo kwenye Orodha za Ugaidi duniani ni kuhakikisha baadhi ya nchi za Afrika zinatawaliwa na Sharia. Vikundi hivi vinasaidia Boko haram Nigeria, Vilisaidia Kupindua Serikali ya Mali ili itawaliwe na Sharia.
Ukiona maazimio ya Pale Diamond Jubilee na Mahubiri ya Farid na Ponda hayana tofauti kabisa Mikakati ya boko haram. Mfano, lengo la boko haram ni kuhakikisha watu wa Nigeria wanatawaliwa na Sharia ya kiislam, pia Pale Diamond Jubilee Maazimio ni yaleyale kama ya Boko haram kuwa Tanzania itawaliwe na sharia za kiislam, na iwe nchi ya kiislam. Mipango ikiwa ni kuua na kuhakikisha ubarozi wa Vatican unafungwa.
Vikundi hivi vya vinavyotokea Saud Arabia, Misri na Algeria vinatumia umaskini wa nchi za Afrika ili kupenyeza Agenda zao, kwa hapa Afrika mashariki raia kutoka nchi tajwa uhamia kwenye mwambao wa bahari maana wanajua watapewa makazi na kupokelewa na jamii za mahali hapo. Baada ya hapo ufungua vikampuni vya kuvua samaki ikiwa ni danganya toto kumbe lengo lao ni kutafuta wenyeji na kuwapeleka kwenye mafunzo ya JIHAD, pia kuwaingiza kwenye harakati.
Kama kweli akina Ponda wanatetea haki za Waislam ilitakiwa kuitisha maandamano, kukutatana na viongozi wa Serikali ili kufanya majadiliano. Lakini kwa sababu wana Agenda yao binafsi kutoka nje ya nchi ndiyo maana utaona maazimio ilikuwa ni kuua au kuuawa, kufunga ubarozi wa Vatican na kufanya Tanzania iwe nchi ya Kiislam
Soma attachment hii kuanzia ukurasa wa 9 uone jinsi Ponda na Farid wanavyotumika, ikiwemo baadhi ya Uharifu walioufanya