Tim Choice
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 2,088
- 1,261
Hivi Farao alikuwa mtu mweusi au Mwaarabu?? Ungeniambia alitoka Sudan ya kusini(NUBIAN) na kuhamia Misri hapo ningekuelewa.
Kaka waafrika walivifanya vitu vingi tu, Waarabu wakaviandika na kisha Wazungu wakavitangaza Duniani na kujimilikisha, kuwa wao ndio waliovigundua,
Acha kuandika mambo usiyoyafaham dogo unajidhalilishaa. Soma hapa: The Worlds First Civilizations Were All Black Civilizations
Hivi Farao alikuwa mtu mweusi au Mwaarabu?? Ungeniambia alitoka Sudan ya kusini(NUBIAN) na kuhamia Misri hapo ningekuelewa.
Nimeuliza swali la kawaida tu na nilikuwa na maana yangu - sasa haya majibu yako ya vijiweni yanakuja kujaje hapa!!! Majivuno tu, si ajabu nchi zote unazo taja hapa juu unazisikia kwenye RADIO au unafikiri kila mtu hapa ni limbukeni? Nikwambie kitu - najua vizuri New Lands na Old Lands like back of my hand - have no doubt in my mind that you are a thoroughly nasty buffoon who mistake rudeness for intelligent comment!!Hao waarabu na wazungu uwaonao Misri leo hii wajua kua walihama toka uarabuni/ulaya na kuvamia falme za Farao wa Misri hapo awali??
Acha kujidhalilisha.
Wajua "civilisation" ya mto NILE uilianza vipi?
Hao wazungu uwaonao leo hii kule Australia na bara la Marekani Wajua walihamia kule miaka ipi?.....je hakukua na waanzilishi/inhabitants/natives kote kule?
You need some more education.
kuna uwezekano mkubwa alikuwa mtu wa Kush, yaani nchi ya Ethiopia leo hii.
ila kuna wanaosema alikuwa Mnubi (Nubian) kama ni kweli either way hakuwa mtu mweupe labda mweusi mwenye nywele zilizonyoka.
Mkuu nahafikiana nawe, hata ukiangalia sura ya Neferneferuaten Nefertiti mkewe Farao Akhenaten anaonekana ana sura na shingo ya Ki Kush, vile vile sura ya Cleopatra.
Neferneferuaten Nefertiti
Cleopatra
kama umefuatilia discussion, utaona kuwa ni ngumu kumpa credit mwafrika ili hali hana lake kwenye uhandishi. crediti ni za wazungu kwasababu wao ndio waliondika.
Je ni sahihi kusema kuwa wazungu ni superior race kwa sababu tu ya kigezo kuwa wao ndio.walioandika mambo ambayo mwafrika alikuwa anayafanya.lakini tu "aloshindwa kuyaweka katika maqndishi?"
nina amini hivyo, hata jamii yetu sasa hivi, kwani waliosoma si ndio superior, hata mtu asiyesoma awe mjanja vipi, akimwona alikwenda ni superior.
pia hata watu weusi wenyewe, kuweka rekodi ni shida, kwahiyo sijui ni laana au ni nini kiko kwenye akili za hawa viumbe.
Embu tupe huo mfano wa comprehensive research alioanza kuiandika mzungu kabla ya mweusi, sababu namba lugha uumbaji wa maandishi na maandiko vyote vimeanzishwa na first huemen. Nakukubaligi nyanja zingine ila kwenye history ya race yetu naona hujabobea vizuri kama majority of us, fanya uchunguzi vizuri consider na time frame, mfano kemia mtu mweusi aligundua minerals na matumizi yake kama chuma dhahabu etc, due to invader wars, slavery, forced false religions, MTU mweusi hakuwa na muda tena wa kuziresearch sana, some white men took it from there and proceeded, ni normal succession na uendelezaji wa knowledge, na hii huwezi itumia kama kipimio cha uwezo wa akili, hakuna watu special zaidi ya watu fulani kama unavoamini, we're all equal ni circumstances za mazingira na utawala.
Man! Know thyself.
Embu tupe huo mfano wa comprehensive research alioanza kuiandika mzungu.
By Tariq Nasheed..
kwa wasiojua, hidden colors ni documentary inayoelezea historia ya mtu mweusi (black man) like never before. Mimi nimeiangalia na kwa kweli ni documentary ambayo ni thought provoking sana! Inaelezea jinsi na kwa kiasi gani 'whites' wanafanya kwa makusudi kuficha na kufuta historia ya mtu mweusi. Baadhi ya mambo ambayo kwangu mimi yalikuwa mapya na ya kushangaza ni :-
Archeologists walivyokuwa wanapaka special chemical kwenye ile michoro ya kwenye pyramids za egypt ili kuzifanya zionake kuwa ni nyeupe zaidi na sio vivid black kama zilivyokuwa. So zinakua kama orange flan hivi.
Waafrika tayar walikua na ramani zao zinaonyesha clearly jinsi ya kufika bara la marekani na ndio waliomuelekeza christopher columbus na kua naye kwenye meli zake lakini nowhere wana acknowledge hilo.
Nafasi kubwa waafrika walikua nayo katika kuleta maendeleo hapa dunian katika mahali tofauti tofauti, mfano kwenye mambo ya ujenzi, na ushahidi mzuri kuwa kwamba kila walikowahi kupita huwa kuna ujenzi wa pyramids, mfano huko china na mexico.
Community nyengine za watu weusi ambao wana zile distinctive features za muafrika kulinganisha na races yoyote ile nyegine duniani. Mfano, china, india, indonesia, australia, gypsies. Na huku kote ni maeneo ambapo waafrika walikua wakienda sana katika kipindi hiko.
Contribution ya waafrika kwenye nyanja tofauti tofauti mfano, astrology, mathemathics, medicine.
Havard wana department inaitwa 'Herbaria' Ambayo wanafunzi huwa wanatumwa kwenda kwenye different parts za afrika kuangalia na kuchunguza dawa za waganga wa kienyeji kisha huwa wanarudi kuzifanya katika vidonge na kuziuza bila waafrika kupata faida ya aina yeyote kutokana na knowledge yao hiyo.
IQ tests zilitengenezwa na psychologist mmoja kwa mara ya kwanza kwenye concetration camps za Nazi, ili kuwatenga wale ambao wapo vizur na ambao sio, lakini haikuwai kuwa a standard measure ya intelligence ya mtu. Na jinsi gani propaganda zinaenezwa kuwa watu weusi huwa wana IQ za chini sana lakini huwa hawatangazi wale wanafunzi wanaotoka Afrika na kuwakimbiza vibaya sana wananfunzi wao.
Afrika ilipewa jina lake baada ya general wa Roman, Scipio Africanus.
Kuna mambo mengi sana yameongelewa kwenye documentary ambayo ipo katika parts, yaani part 1, 2 na 3 mpaka sasa, lakini bado inaendelea kutoka parts nyengine tofauti. Mimi mpaka sasa nimeangalia part 1, na nusu ya part 2 lakini, i have to say hii ni moja ya zile documentary ambazo ukiangalia na kumaliza, your mind is never the same kiaina flan. Like its this new body ofknowledge being unfold.
Ningependekeza kila mtu huku aweze kuitafuta na kupata nafasi ya kuangalia documentary hii. Hii ni trailer ya part 2 ya hiyo documentary.
Unachekesha sana. Huamini kitu hadi uambiwe na mtu mweupe.. kweli utumwa mbaya sana.
kwa kiasi kikubwa wazungu wamejiweka mbele kwenye mambo mengi na wengi walifanya hivyo kipindi ambacho mzungu alikuwa ni 'superior race'.
Kwahiyo kuna sababu walifanya hivyo, ila pia kwa afrika hawakuwa 'advanced' sana kwenye shughuli za kuandika na kuchapisha kwahiyo kuna ukweli weusi wako 'slow' na wazungu wako mbele.
Jiulize swali jepesi, nani alitangulia kuandika comprehensive research ya vitu? Ukweli ni wazungu.. And if that is the case then they are ahead.
Wewe ni popoma tu, nawazungu sijui wala kugegeda bak, maana kuna uzi mmoja kule unambishia mkuu Deception na weak point alafu ulivojinga, umekomaa kule kuandika kingereza jamaa akiandika kiswahili unasema hujui vema kiswahili hapa iki ulichoandika ni nn?
Watu wengine bana hamna tofauti na utoko wa kibox manyoya
Cc Deception njoo uone huku jamaa yako ambae hajui kiswahili , hUku pia yupo na wazungu. He he
ziko nyingi sana. ulisoma Physics O - level?
- Omhs law
- Charles law
- Law of gravity
- Darwin theory
haya yote usikute yalijulikana na mababu weusi kwa karne na karne kabla ya wazungu hata kuwepo ila aliyeandika ni mzungu.. wakina Charles, Newton, Darwin ni wazungu
Man! Bear in mind maandishi namba astronomy architecture etc were already known in the al kebulan landmass now known as africa, centuries ago. Wasingeweza kuandika na kuhifadhi bila ya mababu zetu. Hizo theories zilishajulikana kitambo ila sisi hatukuwa na nidhamu chafu ya kujimilikisha elimu kwa majina, aristotle ujuzi wake wote alijifunza ancient egypt, kaa ukijua hata neuroscience was amongst literature antique that were picked up when the roman burnt down alexandria university the largest latest university of ancient egypt, google adam smith papyrus. We were already ahead centuries ago not vry united i must admit, they tried to wipe everything, angalia sanamu za misri zilivyoharibiwa pua na lips, google these pictures.
Man! Know thyself
Kumbe alikuwa ananizuga,aisee jamaa kanitapeli kweli.Nimelazimika kumuandikia kwa kizungu huku nikiwasahau walengwa wangu wale wasiojua kizungu,kumbe nilikuwa naelimisha KASA.
Nashukuru mkuu kwa kunijuza hili.