DOCUMENTARY: HIdden Colours (Historia ya Mtu Mweusi)!


I completely disagree, in fact we're superiors and they've recessive genes hence inferior to the blackmen, not only physically but also mentally and spiritual
 
I completely disagree, in fact we're superiors and they've recessive genes hence inferior to the blackmen, not only physically but also mentally and spiritual

you know there are so many types of "intelligences"
...like
intellectual,
physical intelligence,
mental intelligence,
emotional intelligence etc etc

black people are superior in physical intelligence especially sports, physical energy, running etc anything to do with physical ability, black are superior and its evident

white people have superior mental, intellectual and emotional intelligence

if you argue with a black person they are easily angered or say abusive words because of lack of emotional intelligence, look at some posters even on this thread, black people get worked out so easily and become emotional.

this thread was started by someone who "possibly" wanted to support the notion that blacks are superior to whites in terms of "intellectual intelligence"... that is NOT true (based on rations in their race).
 
Sijui historia sana ila nadhani waafrika wanaozunguzmia kwenye historia ni wacush na nilotes sidhani kama wabantu tupo kwenye hii historia.
 
Nimeicheli hiyo documentary na niliipenda kwa kweli lakini sikuona umuhimu wa kuendelea na sehemu ya 2 na ya 3. Ila nina maswali madogo madogo mfano, mbona mpaka sasa sisi ni masikini?! Je tulilogwa?! Au shetani wa umasikini alituonea wivu?!
Kujua historia ni muhimu ila 'superiority' ya miaka 1000 iliyopita sidhani kama inaweza kututoa hapa tulipo nimeshasoma mahali kwamba hata Mfalme Nimrod alikuwa mweusi ila naona ni bora nikaangalia namna ambavyo wazungu walifanya mpaka tukawaheshimu, wachina walivyofanya mpaka wakawa hapa walipo kisha na mimi nifikirie namna ya kufanya mpaka niwe mahali pazuri zaidi.
Ubora wa miaka buku iliyopita, misifa ya ubora wa kabila fulani au race fulani isitujaze giza kiasi cha kusahau kwamba tupo kwenye ulimwengu wa ushindani.
 

Looks like you's also brainwashed, let me agree to disagree with you. Peace
 
Looks like you's also brainwashed, let me agree to disagree with you. Peace

brainwashed? hardly.

the secret to true success is through recognition of "personal" strength.. blacks are superior in physical intelligence, that is our fort (well, most of them not all). we can run 100m in 9.16 seconds but when it comes to certain logical questioning and thinking the brain hurts or just doesnt register.. and honestly some admit.

BUT NOT ALL BLACK people are inept, remember.. I am black and i am not physically gifted and i regard myself intellectually superior to many white people and it is evident and they "know that i know that they know that i am.."

i am not trying to paint all blacks as inferior, there are few gifted and they stand out but most of us aren't.
 
waafrika tuko vizuri kichwani ila kitu maendeleo siyo priority yetu!
 
Kwa karne nyingi wazungu wamewekeza katika kuishusha thamani yetu. Haya unayoyaona leo ni uwekezaji wa miaka mingi mno! Na kwa huzuni kubwa, wazee wetu wengi walikubali kushushwa hivyo na kama kansa!! Imesambaa kwa vizazi vyote....ukweli ni kuwa waafrika tumefanya mambo mengi mno mazuri huko nyuma, ila wazungu kwa uovu wao wameamua kuyafukia yote na kuitengeneza historia bandia ambayo dunia nzima inaiamini kwa sasa!

Ustaarabu wa kwanza kabisa, kama historia isingeingiziwa mdudu, ingeonesha kuwa waafrica ndio wavumbuzi wa vitu vingi ambavyo leo hii wazungu wanajisifia
 
Je ni sahihi kusema kuwa wazungu ni superior race kwa sababu tu ya kigezo kuwa wao ndio.walioandika mambo ambayo mwafrika alikuwa anayafanya.lakini tu "aloshindwa kuyaweka katika maqndishi?"

Ndio ni sahihi tena sana,
Hebu jiulize,
Wazungu wanasema Mtu wa kwanza alikua Nyani ndio akawa anabadilika stage kwa stage lkn Nyani huyo alikua AFRICA,
Kipindi hicho wao walikua wapi???

Kama sio kutuchezea sisi.
 
That is the truth and nothing but the truth. we must know where we coming from and why we are in this situation today as the black race.
 
Sijui historia sana ila nadhani waafrika wanaozunguzmia kwenye historia ni wacush na nilotes sidhani kama wabantu tupo kwenye hii historia.

Bibi.com, nimefurahi uliposema "unadhani" yaani hauna uhakika na uwepo wa wabantu kwenye hizo historia, hao uliowataja Wacush na nilotes kiwajihi wa uso hawana tofauti sana na Wazungu naaanisha wote wana pua nyembamba na ndefu

sasa bakupa homework mbayo unaweza kugoogle tu na kupata majibu mazuri , homework yenyewe ni hii KWA NINI WAZUNGU WALIPOFIKA KOTE KULIKOKUWA NA STATUS MASANAMU YA WATU WEUSI CHA KWANZA WALICHOFANYA NI KUVUNJA PUA ZAO?, Angalia sanamu zote za Egypt, Asia, Europe, America nk

cc: Hoshea, iArmaniAdamson, Mr Econ, sizya007, everhurt, @
 
Last edited by a moderator:
waafrika tuko vizuri kichwani ila kitu maendeleo siyo priority yetu!

its not that it is not a priority, there are blacks who are very proactive and they focus on developing themselves but most are not intellectually intelligent enough to "break out"
 

unataka kumaanisha nini, what is the significance ya kitendo hiko?
 
unataka kumaanisha nini, what is the significance ya kitendo hiko?

1: kuonyesha kuwa wale hawakuwa watu weusi,
2: kuonyesha kuwa mtu mweusi hana uwezo wa kufanya chochote
3: kupoteza historia sahihi ili iandikwe yao ili waweze kutawala vizuri
4: nk
 
unataka kumaanisha nini, what is the significance ya kitendo hiko?


Watu wanaangaika na elimu ya anga pamoja na kujua sayari, hivi ulishawahi kusikia kabila la Dogon lililopo Mali?, hao ndio mabingwa na hiyo elimu na ndiko Waraabu walipokuja kuchota Elm ya mambo ya nYota na Sayari zote

just google DOGON TRIBE
 
1: kuonyesha kuwa wale hawakuwa watu weusi,
2: kuonyesha kuwa mtu mweusi hana uwezo wa kufanya chochote
3: kupoteza historia sahihi ili iandikwe yao ili waweze kutawala vizuri
4: nk

kusema kweli, kunaweza kuwa na ukweli hapo LAKINI UKWELI pamoja na kwamba uchukua muda kudhihirika lakini kuna siku kila kitu kitawekwa wazi.

ukumbuke kabla ya vita kuu ya kwanza ya dunia mtu mweusi alikuwa anamsujudia mzungu, baada ya vita kuu watu weusi walipoona mzungu anakufa kwa risasi, macho yao yakafunguka wakaanza kumbishia mzungu, na ndio hapo watu wengi weusi wakaanza kupata uhuru hasa sehemu za Afrika.

ilichukua muda lakini eventually ukweli ulidhihirika. wazungu wanaweza kusema mambo mengi, lakini kila siku maelfu ya watu weusi wanafunguka macho na kuona kwamba pia wao wanaweza.
 
Watu wanaangaika na elimu ya anga pamoja na kujua sayari, hivi ulishawahi kusikia kabila la Dogon lililopo Mali?, hao ndio mabingwa na hiyo elimu na ndiko Waraabu walipokuja kuchota Elm ya mambo ya nYota na Sayari zote

just google DOGON TRIBE

well if thats the case then its fine, but you need to realize if no one bothered to follow Dogon tribe and document their findings, someone in England or Middle East would have taken credit of their findings.

I dont discount black peoples ability of discovery but i challenge their intellectual ability in terms of doing and building a comprehensive research and document it.

you only get copyrights by writing down what you own not by claiming by the word of mouth.
 

Kupata copyright sio kusema ndio una elimu ujanja pia upo, unaikumbuka story ya Alexender Bell, au umeshawahi kumsoma Nikolai Tesla na hujuma alizofanyiwa na Wazungu wenzie?

Kama hujawasoma hao Dogon, basi kwenye Miaka ya 1930,s kuna wazungu(wafaransa) walikuja kukaa nao kwa miaka kupata hiyo elimu na walifundishwa vitu ambavyo vilikuwa vipya kabisa katika dunia wakati huo, kuhusu Nyota/sayari ya Sirius, wanasayansi walikuja kuprove hiyo elimu na huo ukweli kwenye miaka ya 1970's
 
Nilotes pua zao sio nyembamba sana kama wacush na hayo masanamu hayana m nyuso mapana sana kama ya wabantu. Na wabantu wanapatikana sub saharan huko north africa sidhani kama yalikuwa ni makazi ya wabantu kutokana na nature ya kazi za wabantu weather ya huko haikutufaa. But pamoja na hayo why tusiprove kwa walimwengu kwamba sisi ni superior atleast kwa kuvumbua kitu chochote ambacho kitasaiidia ulimwengu mzima
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…