Documents za makabidhiano wakati wa ununuzi wa gari?

maujanja supplier

Senior Member
Joined
Aug 8, 2012
Posts
103
Reaction score
115
Habari wa Tanzania wenzangu, naomba kujuzwa; utaratibu unaotumika na aina ya documents za makabidhiano wakat wa ununuzi wa gari. All the procedure I mean, gari lililotumika toka mmilik A to B
Ahsanteni
 
Ukitaka kununua gari kwa Mtu hapa Tanzania.

1. Mnaandikishiana mkataba na ukiwa na muhuri na sahihi ya mwanasheria.

2. Mnaenda TRA na huo mkataba, copy ya ID ya muuzaji na mnunuaji, original card ya gari.

3. TRA watamaliza the rest.
 
Ukitaka kununua gari kwa Mtu hapa Tanzania.

1. Mnaandikishiana mkataba na ukiwa na muhuri na sahihi ya mwanasheria.

2. Mnaenda TRA na huo mkataba, copy ya ID ya muuzaji na mnunuaji, original card ya gari.

3. TRA watamaliza the rest.
Thanks
 
Habari wa Tanzania wenzangu, naomba kujuzwa; utaratibu unaotumika na aina ya documents za makabidhiano wakat wa ununuzi wa gari. All the procedure I mean, gari lililotumika toka mmilik A to B
Ahsanteni
Kuwa na mkataba wa mauziano. Ambao utaonyesha jina la muuzaji, la kwako, mashahidi na namba zao.

Huwe na kopi ya kitambulisho cha muuzaji, picha yake.

Angalia kadi ya gari, ikague kama ni original na kila kilichokuwepo kwenye kadi ya gari ndio gari lenyewe? fundi akague gari yako, hapa ni fundi unaye muamini, usije ukauzia famba

Angalia kama gari haina makosa, haidaiwi ( Huwe katika safe side).

Lipaneni, washa mchuma ondoka. Ukitaka kubadilisha umiliki wa gari hizo nyaraka za juuu zitakusaidia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…