Elections 2010 Dodoma-Bahi Urais wagawana pasu CCM na CHadema wala DR Slaa hakuwahi kukanyaga

Elections 2010 Dodoma-Bahi Urais wagawana pasu CCM na CHadema wala DR Slaa hakuwahi kukanyaga

Makanda

Member
Joined
Oct 29, 2010
Posts
77
Reaction score
2
Dodoma-Bahi Urais wagawana pasu CCM na CHadema wala DR Slaa hakuwahi kukanyaga hii inaashilia kuwa wimbi la sunami la Dr lilivyokuwa na nguvu.
 
Nafikiri mzimu wake ulikuwa unafanya kazi pia huko si mchezo mwaka huu
 
Inafurahisha kuona watanzania wenzetu wa Bahi wamepima sera na si umaarufu
 
Dodoma-Bahi Urais wagawana pasu CCM na CHadema wala DR Slaa hakuwahi kukanyaga hii inaashilia kuwa wimbi la sunami la Dr lilivyokuwa na nguvu.

Upepo wa mageuzi ukianza kuvuma tu basi huvuma kila mahali haijalishi kama mgombea alifika au la hasha......................
 
Back
Top Bottom