the hunterer Senior Member Joined Jul 15, 2014 Posts 145 Reaction score 38 Jun 15, 2022 #41 Bajeti ya mwaka wa fedha 2022/2023 inatija kubwa kwa taifa na raia kwa ujumla, kilichobaki ni utekelezaji na usimamizi yakinifu katika kusimamia yale yote yaliyoidhinishwa kwenye bajeti hiyo.
Bajeti ya mwaka wa fedha 2022/2023 inatija kubwa kwa taifa na raia kwa ujumla, kilichobaki ni utekelezaji na usimamizi yakinifu katika kusimamia yale yote yaliyoidhinishwa kwenye bajeti hiyo.
kamdudu JF-Expert Member Joined Jan 20, 2015 Posts 2,007 Reaction score 1,931 Jun 21, 2022 #43 kwa hio hawa traffic wenye viherehere wa vya kung'ang'ania leseni zetu watafanyaje na leseni ziko kwenye simu ?🤔
kwa hio hawa traffic wenye viherehere wa vya kung'ang'ania leseni zetu watafanyaje na leseni ziko kwenye simu ?🤔