Clement paul
Member
- Oct 27, 2016
- 88
- 68
- Thread starter
-
- #61
Hmm karbu san cmrd[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie sijamcheka jamani, nimefurahi. Ndo nipo njiani naelekea geto.
Hamna vibak man,chang'mbe ilikuw hivyo zaman San ila kwa sasa wazinguaji wengi wamedakwa na maporisi.umepita msako sasa hvi hakuna tena mambo ya kukabana tena.kuna mitaa sasa hvi ndo imeanza kuwa ivo kwa Dom.Hiyo mitaa wanakaa vibaka sana . alafu sio kujianika hapa unazingua . kumbe wagogo wadwanzi
Hao wote sio pigo zangu ndgu.dah pgo za mc cyoWatu wa dodoma bwanaa daaah! Hv mkoje nyie watu
Hata ndugu zako Lemutuz, mcpilipili na ndugai wako Kama wewe nikupe pole tu
Mbna kawaida,karbun mtaan kwangu..home,ww tatz umeon lipo wapi man mbna ht sikusomi.sema tatzo nini,kuwa kma real man kuwa huru sema lolote unaloona cyoAkili yako hii au umelogwa
Nakubali mkuu..first time nimekutana na challenge ya majibizano ya ela nyingimkuu humu bora ata uweke picha ya makalio lakini sio uso maana kuna vichaa wa kila namna humu
Mmi cjakwambia kuwa umetukana brotherKwani hapo nimetukana au nimetoa tuu ushauri wangu
Ah asante sana brother, dah hayo ndo mambo yngu bro napenda San hiyo michezo.upo wapi brother cku nkutafute?napenda tizi sana,lakni cyo chuma.matizi nayoshindwa ni chumaMwana karatee mwenzangu karibu saana JF
Namba yangu brother hii 0655641881.tuchekiane hewanMwana karatee mwenzangu karibu saana JF
Mzee mmi cna huo ushamb unaomaanisha..ngepiga picha kifua wazi hapo ngeonekan ivo.ila ivo kawaida san.tatz nn hapo?Mkuu wewe ni msukuma nini kwasababu watu wa chato kwa ushamba mnaongoza.
Wew pnde zipi ndgu??Kumbe u jirani yangu, karibu sana!
Dah hain hiyo mambo manAtakua ndo serengeti boy wa demis huyo
Nakumbuka demis alisema anaishi dodoma pia
Shida sana ,huyo ni mamiloo arifu ,Jf haina masikini arifu wala uhalisia ndio maana utashangaa unaulizwa maswali kama hiyo ghetto wanalala panya nkKwa uthibitisho upi..?sema mwana kwa ili umezingua,umezingua dingi afu na mmi nione vpi hapo
Aman nyingi bro,matzi kwa afya tu cyo kwa vurugu wal nni.ikiwa ivo wanajesh mtaani wangeumiza watu maana mchezo wanaofundishwa ni mchezo hatariii SanaWe jamaa umekunja na T-shirt, umepiga magoti kitandani, umerembua[emoji23][emoji23][emoji23] ili uje ututishe huku ndani??
Sema siku nyingine vunga usitume picha huku ndani.
Ukikutana na mwalimu wako wa kiswahili mpe salamu zako.
Wanaume wa mikoani 1 wanaume wa Dar 0.
Sasa utofaut wako na mc pilipili ni nini? Hebu badilikeni acheni uporiporiHao wote sio pigo zangu ndgu.dah pgo za mc cyo