Mr Kaptenovela
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 621
- 618
Hahaha eti kuipita Mwanza...we unaota nnAyo ni baadhi ya majengo yanayopatikana Dodoma.....kiukwel Dodoma inakuja kwa kasi japo kuifikia dar kazi sana ila baada ya miaka miwil itaizidi mwanza ......naweza kusema ni jiji LA tatu kwa uzur baada ya dar na mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Dodoma haitaipita Mwanza kamweItachukua miaka 15 kuizidi Mwanza,sio miwili kama unavyosema
Sent using Jamii Forums mobile app
Dom labda mwekezaji akawekeze mifugoSitaki kuwa mshabiki, nakuwa mkweli kwa ninachokiona. Majengo ya serikali yanajengwa mangapi hadi iweze kuipita Mwanza kwa muda mfupi kiasi hicho?
Kwa majiji na miji majengo ya serikali huwa hayazidi majengo ya watu wengine wakiongozwa na wawekezaji. Jee unayo takwimu gani inayoonesha wawekezaji watakuwa wengi Dodoma kuliko Mwanza kwa kipindi kifupi unachodai?
Mwanza toa hapohaliwezi fikia dar kamwe labda mwanza na arusha
ππππππππ kwahiyo tuweke kigoma?Mwanza toa hapo
Mwanza haiwezi kutwa na Dodoma labda hao wengine..ππππππππ kwahiyo tuweke kigoma?
Kwa majengo gan marefu ya kuipita mwanzaKiukweli tuache utani, Dodoma inakuja juu jamani....ila inaweza ipita Mwanza kwa majengo marefu tuu ambayo mengi ni politically ila kwa population na kupanuka Dodoma haiwezi kamwe kuipita Mwanza....Mwanza ni nouma bhana kanda ya ziwa yote inakimbilia Mwanza....
"TAFAZALI BUANA'
Unajua kujliwaza unahisi, subiri treni ikuharibikie Dodoma ndio utaweza kutofautisha Kati ya Kigoma na Dodoma.jengo la maana ni la lapf tu mengine kama kigoma, naisi ni jengo pekee kubwa
Dodoma bado sana sehemu iliyochanamka aifikishi kilomita 10 unakuta poli na nyumba zimechoka.Unajua kujliwaza unahisi, subiri treni ikuharibikie Dodoma ndio utaweza kutofautisha Kati ya Kigoma na Dodoma.
Akili hiyo ya kupambana kama vijana wa Arusha, Dar na Mwanza hawana hao pusi wa ccm. Wapo busy wanakula viwavi jeshi a.k.a 'lya mwidebe' wanasubiri uchaguzi ufike wakaichague ccm warudi tena kwenye lya mwidebe.Hivi kwenye mitandao huwa wagogo hawamo watete kwa nguvu mkoa na jiji lao maana watu wa mikoa mingine wanashambuliaaa hata sion defend ya kutoka dodoma
Sent using Jamii Forums mobile app